Je,nipo salama hapa?..naomba mawazo yenu wadau

Sijui lakini hali ni tete ikiwa wiki 30 ni siku 180 yaani Januari yote hadi mwisho wa June. Ukichukulia siku 12 ulizokuwa hupo Januari. Lakini inawezekana ni kuwa madaktari hawako sahihi na hizo wiki 30 bali ni hesabu ya kukisia tu.
Mke wangu mimi anasema akiamka asbuhi ya pili basi anajuwa kama goli limetinga! Roho mganga, kama unamwamini mkeo basi mwamini tu!

Mmhh pole ila kama umesema uko nje ya nchi woga wa nini?! siku hizi hamna blabla DNA ipo kwaajili ya watu kama nyie, so mtoto akishazaliwa kampime then usiache kutujulisha na sisi matokeo, BEST WISHES!
 
ni kwamba nipo nje ya nchi kimasomo yapata miaka miwili sasa na nimeoa.huwa narudi kila baada ya mda fulani ili kutoa huduma kwa familia na kuepusha vishawishi kuingilia ndoa yetu. Mara ya mwisho nilirudi mwezi wa 12 tarehe 13 mwaka jana 2012. Kufika mwezi wa kwanza tarehe 5, yaani wiki 3 tu baada ya kurudi mke wangu akalalamikia tumbo kuuma baada ya siku kama 4 alienda kupima na kuambiwa kuwa ni mjamzito, ndo mwezi ulikuwa unakaribia toka nirudi.je hili linawezekana?
Baada ya mda kupita juzi ameenda kupima tena hospitali na kuambiwa kuwa ana ujauzito wa wiki 30 ambapo kwa mahesabu yangu wiki 30 nyuma inaangukia mwezi wa 11 katikati...je hapanimebambikiwa au wadau hizi wiki huwa zinahesabiwa vipi?. Naombeni maoni yenu wadau

tabia mbaya kama umeoa beba familia yako popote utakapokuwa ila kuwa mbali si kigezo muhimu tabia kwani hata mkae nyumba moja kwarukwaru pepo ngono atakuchakachua ila pambania ulipokosea kuacha ubavu mbali
 
ni kwamba nipo nje ya nchi kimasomo yapata miaka miwili sasa na nimeoa.huwa narudi kila baada ya mda fulani ili kutoa huduma kwa familia na kuepusha vishawishi kuingilia ndoa yetu. Mara ya mwisho nilirudi mwezi wa 12 tarehe 13 mwaka jana 2012. kufika mwezi wa kwanza tarehe 5, yaani wiki 3 tu baada ya kurudi mke wangu akalalamikia tumbo kuuma baada ya siku kama 4 alienda kupima na kuambiwa kuwa ni mjamzito, ndo mwezi ulikuwa unakaribia toka nirudi.je hili linawezekana?
baada ya mda kupita juzi ameenda kupima tena hospitali na kuambiwa kuwa ana ujauzito wa wiki 30 ambapo kwa mahesabu yangu wiki 30 nyuma inaangukia mwezi wa 11 katikati...je hapanimebambikiwa au wadau hizi wiki huwa zinahesabiwa vipi?. Naombeni maoni yenu wadau
inawezekana sanasana hiyo mimba ikawa yako!mimba hata ya wiki tu ukipima inajulikana!na wengine wanapata dalili mapema.imagine kwamba hito tarehe uliyorudi 12 dec,mkeo alikuwa kwenye ovulation,ina maana mimba ikashika,alipoenda kupima ikaonekana,ni sawa kabisa!halafu wewe wiki unaesabuje?usihesabu kila mwezi ni wiki nne,wiki 30 maana yake ni siku 30 mara 7=210,sasa hesabu dec 19, jan 31 ,febr 29,march 31,april 30,may 31,june weka 27 jumla 198,sasa unatakiwa ujue mimba wanahesabu kuanzia siku ya mwisho mkeo alipopata period,na kwa maana hiyo kama alikuwa kwenye ovulation hiyo yarehe 12 ulipofika,ina maana jumlisha 14 hadi 16 ,jibu unapata 212 na 214!sasa gawa kwa saba,ni wki 30 na siku kadhaa!
 
inawezekana sanasana hiyo mimba ikawa yako!mimba hata ya wiki tu ukipima inajulikana!na wengine wanapata dalili mapema.imagine kwamba hito tarehe uliyorOudi 12 dec,mkeo alikuwa kwenye ovulation,ina maana mimba ikashika,alipoenda kupima ikaonekana,ni sawa kabisa!halafu wewe wiki unaesabuje?usihesabu kila mwezi ni wiki nne,wiki o30 maana yake ni siku 30 mara 7=210,sasa hesabu dec 19, jan 31 ,febr 29,march 31,april 30,may 31,june weka 27 jumla 198,sasa unatakiwa ujue mimba wanahesabu kuanzia siku ya mwisho mkeo alipopata period,na kwa maana hiyo kama alikuwa kwenye ovulation hiyo yarehe 12 ulipofika,ina maana jumlisha 14 hadi 16 ,jibu unapata 212 na 214!sasa gawa kwa saba,ni wki 30 na siku kadhaa!

ahsante sana mdau andishile kwa uchambu wako mzuri..kwa kweli nimeelewa vizuri sana. Pia ahsante zangu kwa wadau wote waliotoa mawazo na ushauri wao na kunielimisha kuhusu hili. Kwa wale wanaosema kwa nini sikumchukua mke wangu kukaa nae..habari njema ni kwamba nipo na mke wangu huki nilipo kwa sasa nilimchukua mda kidogo.ahsanteni sana na mungu awabariki wote
 
ahsante sana mdau andishile kwa uchambu wako mzuri..kwa kweli nimeelewa vizuri sana. Pia ahsante zangu kwa wadau wote waliotoa mawazo na ushauri wao na kunielimisha kuhusu hili. Kwa wale wanaosema kwa nini sikumchukua mke wangu kukaa nae..habari njema ni kwamba nipo na mke wangu huki nilipo kwa sasa nilimchukua mda kidogo.ahsanteni sana na mungu awabariki wote

ok!nakupongeza kwa kumchukua kukaa nae huko ulipo!kila la kheri!
 
Jamani doctors and nurses are not angels! Hua wanakosea sometimes..ndoa ya rafiki yangu ilitaka kuvunjika kwa sababu ya issue kama yako baada ya mtoto kuzaliwa wala hakukua na haja ya DNA cause mtoto alikua photocopy ya baba yake!
 
Usikatae tamaa mapema Mwombe Mungu mke ajifungue salama mambo mengine baadaye
 
Back
Top Bottom