Je nini saabu na suluhu ya kigugumizi.

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,417
3,154
Mimi ni miongoni mwa watu wanaokusumbuliwa na changamoto ya kigugumizi.
Kutokana na kigugumizi nimekosa fursa nyingi, hususani zile zinazonibidi nijielezee kwa jamii jambo fulani; kwani baadhi ya watu wasionijua huisi sijiamini au siwezi.
Leo naomba suluhu kutoka kwenu ndugu zangu.
AMANI IWE NASI!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom