Kiukwel hizo ni sumu tunaingiza mwlin bila kujua kutumia diodorant ili makwapa yastoe jasho ni sawa na kuziba eksoz ya gari listoe moshi Mungu sio mjiga aliyeweka vitundu ktk ngoz yako!!
Najamani naomba kujuzwa kama kuna madhara yoyote mwilini kwa kutumia body spray perfumes na deodorant. Kuna nyingine ukijipulizia mwilini unahisi kama mwili unawaka moto.