he!....ukatae kwa nini.....? mwambie aje.....mwenyewe ndio kakuambia halafu ukatae.....unanshangaza......
[/QUOTE/]kwahiyo akuye alale nae fasi ya mukitanda?le madame akipata grande ventre akuye hapa kuomba ushauri kwa bhandugu!
Hi, wanaJf!
Ninaomba ushauri wenu wa haraka. Kuna demu ni mtu wa karibu sana na mpenzi wangu. Jana akaniita sehemu na kuniomba leo aje alale kwangu maana anajua mpenzi wangu amesafiri kikazi!
J? nimkubalie?
Riwa chukulia ni mkeo umesafiri akachukuliwa na rafiki yako tena wakaribu utajisikiaje? mimi naona haina haja ya kuogopa binadamu ni bora kujua Mungu ajua siri/matendo yetu kila tufanyalo na hata kabla hatujalitimizaSounds like one night stand.....hivi, seriously, dada zangu naomba mniambie ukweli...whats wrong with one night stand? I mean mnapendana na mpenzio kabisaaaa....mwanaume kama hivyo mwanamke kajilengesha, nikala hapo kausiku kamoja tuu...na bado nampenda mpenzi wangu....whats wrong with that? (wanaume mtakaochangia mchukulie scenario kwamba mpenzi wako wa kike kapigwa one stand...lakini anakupemda bado, whats wrong with that?)..
unaweza ukawa mzonga kumbe wewe ndio kwanza unaenda kuwa mzonga baada ya kupata kaugonjwa ketu aka hivPiga mzoga huo umepotea njia, wenzio wanahonga nyumba na magari kuupata mzigo we unapata bure unauliza umkubalie???!!!
NB: Kua makini isije ikawa tego.