Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
- Thread starter
- #41
Thanx wakuu wote wa JF kwa ushauri mzuri mlionipa so nimebadili mawazo na nimeamua kumsamehe ila ntaonesha upendo kwake kama dada yangu ili ailee mimba yake vizuri.bila JF sijui.........