Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Ha ha ha!!! Chriss, namba 1 mpaka 4 utawavumilia?Una bahati sana LF. Mi nipatie hiyo #5.
Ha ha ha!!! Chriss, namba 1 mpaka 4 utawavumilia?Una bahati sana LF. Mi nipatie hiyo #5.
ah, kids will always be kidshilo nakubaliana nalo kabisa halafu huyo mtoto jinsi alivyokua mzuri weee hatari. Halafu sasa nikienda room kwake wale madent wenzake wanataka namba yangu yeye anakataa nisiwape, sasa kuna mshikaji akaniambia kuwa huwa wanaibiana mabwana na yeye alikua akipenda sana kuniambia niende ili auze sura nami, sasa wale wenzake wanaona wivu
hilo nakubaliana nalo kabisa halafu huyo mtoto jinsi alivyokua mzuri weee hatari. Halafu sasa nikienda room kwake wale madent wenzake wanataka namba yangu yeye anakataa nisiwape, sasa kuna mshikaji akaniambia kuwa huwa wanaibiana mabwana na yeye alikua akipenda sana kuniambia niende ili auze sura nami, sasa wale wenzake wanaona wivu
Umeona eh ndio uanafunzi huo! ila ndo muda wake mwache ainjoy!ah, kids will always be kids
Mama Msindima nakupa masaa sita ya kunitaka radhi. Lol! Liyumba? Si afadhali ungenifananisha na Athumani Ali Maumba?
Morning Chriss,kumbe wewe ni Liyumba,sikua naelewa hilo shukrani kwa kutueleza hilo.
Ha ha ha!!! Chriss, namba 1 mpaka 4 utawavumilia?
yaani wewe boss unamtaka demu wangu, unataka kutumia pesa zako kwa demu wangu, nimeomba ushauri na sio kuomba ahudumie na mtu mwingine, maana mie sikuzoea kuhonga. Baadhi niliokuwa nao ndio walikua wakinipa mshiko pamoja na kunipigia simugoodboy tafaddhali hebu nipe contacts za huyo msichana,
nataka niwafundishe kitu,,,,,,,,na contacts za wenzake pia.
Si utafute 1 na uoe tu? utahangaika na hao wa ku-pass time mpaka lini?umeyataka mwenyewe.Unachomiliki mwenyewe kina raha yake,la sivyo kubali kushea na wenzio hivohivo.
Bro,inaelekea una wivu sana!Mama Kaizer huko nyumbani haendi sokoni peke yake wala saluni.Na kama ni mwislamu basi kila siku inabidi avae kininja.ZD hayo maneno yanachoma ujue!
Wadau wa JF mimi ndugu yenu nina katatizo kidogo kwenye mahusiano na binti mmoja anasoma mzumbe university. Huyu mtoto ni mkali kweli kweli, lakini tatizo lake anaomba sana pesa, voucher na vijizawadi vidogo vidogo. Mimi hii kasumba ya kuombwa ombwa sikuzoea na wote nilokua nao kabla hawana tabia ya kuomba omba hadi niwape mwenyewe. Huyu bwana anaomba si mchezo. Mbaya zaidi ukimtumia hiyo voucher hata hakupigii na utashanga kesho tena anakubip. nimekua nikijiuliza sasa hii credit nayo mtumia anawasiliana na nani?
Mbaya zaidi nikimwambia njoo basi nami niweze kuliwazika japo kwa kuwa karibu nae, utasikia visingizio kibao, mara nina mitihani, ohh nimefunga chuo lakini naenda kwanza nyumbani, sasa simuelewi kabisa, na pia sidhani kama ananipenda maana nimemmega mara moja tu.
jamani naombeni ushauri wenu wa dhati maana nafikiria kuachana nae na kutafuta anayejua kumlea mwanaume kijana kama mimi bila ya kua na tamaa tamaa.
natanguliza shukrani zangu wadau kwa kushiriki kwenu kunipa ushauri
Gud boy, mie sina cha kukushauri, ila shukuru hujaombwa hela za salun au kuweka gari mafuta kuna watu wanahayo majukumu, unaweka gari mafuta na hata lifti huambulii. Ngoja nikupe orodha fupi.
Man #1 - vocha na zawadi ndogo ndogo
Man #2 - Pocket money/matumizi mbali mbali
Man #3 - Kuweka gari mafuta na kulipeleka garage
Man #4 - Wakutoka nae outing
Man #5 - Wakula nae tunda
Sikuvunji moyo lakini kuna mtu the other side anafaidi hizo vocha unazotuma
Bro,inaelekea una wivu sana!Mama Kaizer huko nyumbani haendi sokoni peke yake wala saluni.Na kama ni mwislamu basi kila siku inabidi avae kininja.
Na huyo kijana wako Gudboy amejitakia(angalia hiyo post ya Lilyflower uone hizo namba 1-5.)
For your concept of "generalization" you look to be naiveAngalia hiyo red part, na nadhani hii ni mara ya pili unatoa comment ya aina hiyo, anyways ni opinion yako lakini nadhani unageneralize saana. si kweli kwamba wasichana wote wa chuo wana tabia hiyo isipokuwa wachache tu na tena wasio na priority katika maisha yao. Mimi najua vijana wengi sana au couple nyingi sana zilizo kwenye ndoa na wote wamekutyana vyuoni nadhani hata hapa JF wapo wengi tu. ndo maana nakwazika na hiyo comment especially coming from a lady.
To me it could be better if it came from a lay person who is consumed by anger and jelousy and has never got an opportunity to go to college.
Lakini cha msingi ni kwamba hizi ni tabia tu, mtu akiamua kuwa nazo hata awe hajasoma, ni attitude ya mtu, so i hate when we generalize things like this.
ZD...saluni nampeleka ni kweli, ila gengeni anaenda peke yake...
Wivu upondo maana nimeshtuka kweli eti kukubali kushare..
Hiyo orodha ya LF nadhani kwa walewa mujini, kuna watu wanatumia magari lakini kadi si za kwao na wala hawajuagi kubadilisha tairi, kumbe ndo ATM zinafanya kazi ivo!
Bora kujikatia shauri tu na kutulia...