Je niachane nae?

pole gudboy kwa yanayokusibu. Sikuzote hawa wasichana wa chuo wana matatizo sana sijui kwa nini yani kati ya kumi 1 au 2 ndo utakuta hawana hizo tabia za kishenzi. Wanaeka pesa mbele na zawadi wanasahau kwamba wanamuumiza yule anayewapenda ki ukweli. Halafu hata ukimmega haimuumi hivo kwa sababu ndo walivyo ni part ya maisha yao ya kila siku ya chuo.pia kummega mtu mara nyingi sio kipimo cha mapenzi kwamba anakupenda hiiivo.

Ushauri: Anza kwa kumnyimahivo vitu unavyompa. Zingatia masomo yako. Ukija duniani huku baada ya kusoma utatukuta tumejaa tele wenye adabu na wasio na tabia ya kuomba omba hovyo. Au imekaaje gudboy?? And you better be a good boy kama unavyojiita.


mhhh hebu ni pm basi.......kumbe mmejaa tele?????
 
Kijana nakupa pole kumbe wewe mwenyewe mwananfunzi,kwa hiyo pesa ya matumizi unayopewa na wazazi ndo mnagawana na girl friend wako,na inavyoonekana wewe wakati unamtokezea ulimwonyesha wewe ni matawi sana, na inawezekana ulikua unajisifia sana ndo maana naye anakutumia effectively,wala usilalamike ni wewe mwenyewe ulimzoesha kwa hiyo kama unaona uzalendo unakushinda waachie wakina Liyumba (Chrispin) and his Co.
 
itabidi na wewe utafute madent wa kusomesha kwanza IFM UDSM,UDOM ,wamejaa tele
na afadhali hawa wasio na familia wasomeshe, lakini unakuta kuna jitu lina mke na watoto watano wote wanaenda Kayumba primary na st mtakuja, wakati lenyewe linalipa ada ya nyumba ndogo IFM, udsm na cbe, vocha za kumwaga, usafiri, yani full matunzo. yaani sometimes i dont get it.
 
DAH mKUU achana kabisa na kitu inaitwa Denti baba awe wa secondary, chuo wote ni noma tupu, hawa wanakuwa opportunist sana, kutokana na kuwa ktk jamii ya watu tofauti, mashindano ni kila kukicha, wengine nyumbani kwao wanajiweza, wale wasiojiweza lile gap la kipato litafidiwa kutoka kwa ma sugar dady na boyfriends, kweli wanakuwa na uhusiano na watu wengi so ukijifanya wewe ndo mwenye mali mkuu umeumia. Tena huyo yupo Morogoro na wewe upo sijui DAR hapo mwana kubali tu yaishe nadhani kwa jinsi ulivyoelezea huyo demu alikukubali ili aongeze wigo wa mapato yake pindi anapochacha alternatives ziwe nyingi ndo maana unaona alikupa mara moja kukuweka kundini sasa kinachofuata ni maumivu ya kupigwa virungu kila kukicha, mara pesa mara Voucher, na uiona unatuma vocha halafu hutumiwi hata sms moja ujue kuna mchizi mwenye mali na wewe ni kitega uchumi, hiyo ndo hali halisi siku hizi , ukikutana na demu wa chuo km uko njema mazee hukataliwi, hawakatai these days ila financial position yako ndo itakuweka kwenye category ipi, sasa na wewe ni denti km yeye hahaha mkuu hapo jitoe mapemaaaa najua pale Moro walimu wa SUA, IDM, wafanyakazi wa ma BEnki, TRA lzm watakuwa wanajimegea tokana na kipato chao.
 
:cool:
Mimi simdanganyi ila hawa watoto sometimes wanapenda mambo ya kikubwa yasiyowahusu.Kuhusu swala la kumegana ,sisi enzi za mwalimu tulikuwa hatufanyi hayo.Ni masomo tu.si unaona maadili yanavyobadilika siku hizi?


aah acheni nicheke tu,nyie si ndio mlikuwa mnacheza kibabababa na we ndo ulikuwa unakuwa mama na walikuw wanakudo kishenzi,alafu sasa unatuambia
ENZI ZA MWALIMU
acha uongo.
 
Pole Gudboy kwa yanayokusibu. sikuzote hawa wasichana wa chuo wana matatizo sana sijui kwa nini yani kati ya kumi 1 au 2 ndo utakuta hawana hizo tabia za kishenzi. wanaeka pesa mbele na zawadi wanasahau kwamba wanamuumiza yule anayewapenda ki ukweli. halafu hata ukimmega haimuumi hivo kwa sababu ndo walivyo ni part ya maisha yao ya kila siku ya chuo.Pia kummega mtu mara nyingi sio kipimo cha mapenzi kwamba anakupenda hiiivo.

Ushauri: anza kwa kumnyimahivo vitu unavyompa. Zingatia masomo yako. ukija duniani huku baada ya kusoma utatukuta tumejaa tele wenye adabu na wasio na tabia ya kuomba omba hovyo. au imekaaje Gudboy?? and you better be a good boy kama unavyojiita.
huu ushauri wako nimeupenda sana na nitaufanyia kazi. Tena sasa hivi nimemchunia kabisa akibip nami sipigi akisema sijui zile meseji zao za bure za kuomba pesa akituma naifutilia mbali, mabinti mbona wapo wengi sana tena wanaheshima ile mbaya. Nashukuru sana mdada
 
Wadau wa JF mimi ndugu yenu nina katatizo kidogo kwenye mahusiano na binti mmoja anasoma mzumbe university. Huyu mtoto ni mkali kweli kweli, lakini tatizo lake anaomba sana pesa, voucher na vijizawadi vidogo vidogo. Mimi hii kasumba ya kuombwa ombwa sikuzoea na wote nilokua nao kabla hawana tabia ya kuomba omba hadi niwape mwenyewe. Huyu bwana anaomba si mchezo. Mbaya zaidi ukimtumia hiyo voucher hata hakupigii na utashanga kesho tena anakubip. nimekua nikijiuliza sasa hii credit nayo mtumia anawasiliana na nani?

Mbaya zaidi nikimwambia njoo basi nami niweze kuliwazika japo kwa kuwa karibu nae, utasikia visingizio kibao, mara nina mitihani, ohh nimefunga chuo lakini naenda kwanza nyumbani, sasa simuelewi kabisa, na pia sidhani kama ananipenda maana nimemmega mara moja tu.

jamani naombeni ushauri wenu wa dhati maana nafikiria kuachana nae na kutafuta anayejua kumlea mwanaume kijana kama mimi bila ya kua na tamaa tamaa.

natanguliza shukrani zangu wadau kwa kushiriki kwenu kunipa ushauri
Gud boy, mie sina cha kukushauri, ila shukuru hujaombwa hela za salun au kuweka gari mafuta kuna watu wanahayo majukumu, unaweka gari mafuta na hata lifti huambulii. Ngoja nikupe orodha fupi.

Man #1 - vocha na zawadi ndogo ndogo
Man #2 - Pocket money/matumizi mbali mbali
Man #3 - Kuweka gari mafuta na kulipeleka garage
Man #4 - Wakutoka nae outing
Man #5 - Wakula nae tunda

Sikuvunji moyo lakini kuna mtu the other side anafaidi hizo vocha unazotuma
 
Wadau wa JF mimi ndugu yenu nina katatizo kidogo kwenye mahusiano na binti mmoja anasoma mzumbe university. Huyu mtoto ni mkali kweli kweli, lakini tatizo lake anaomba sana pesa, voucher na vijizawadi vidogo vidogo. Mimi hii kasumba ya kuombwa ombwa sikuzoea na wote nilokua nao kabla hawana tabia ya kuomba omba hadi niwape mwenyewe. Huyu bwana anaomba si mchezo. Mbaya zaidi ukimtumia hiyo voucher hata hakupigii na utashanga kesho tena anakubip. nimekua nikijiuliza sasa hii credit nayo mtumia anawasiliana na nani?

Mbaya zaidi nikimwambia njoo basi nami niweze kuliwazika japo kwa kuwa karibu nae, utasikia visingizio kibao, mara nina mitihani, ohh nimefunga chuo lakini naenda kwanza nyumbani, sasa simuelewi kabisa, na pia sidhani kama ananipenda maana nimemmega mara moja tu.

jamani naombeni ushauri wenu wa dhati maana nafikiria kuachana nae na kutafuta anayejua kumlea mwanaume kijana kama mimi bila ya kua na tamaa tamaa.

natanguliza shukrani zangu wadau kwa kushiriki kwenu kunipa ushauri
Gud boy, mie sina cha kukushauri, ila shukuru hujaombwa hela za salun au kuweka gari mafuta kuna watu wanahayo majukumu, unaweka gari mafuta na hata lifti huambulii. Ngoja nikupe orodha fupi.

Man #1 - vocha na zawadi ndogo ndogo
Man #2 - Pocket money/matumizi mbali mbali
Man #3 - Kuweka gari mafuta na kulipeleka garage
Man #4 - Wakutoka nae outing
Man #5 - Wakula nae tunda

Sikuvunji moyo lakini kuna mtu the other side anafaidi hizo vocha unazotuma
 
Si kwasababu mnawapa? au? haidawahi kunikuta ila tabia ya kuomba omba inakera mbaya yani!
wewe jaribu kutafuta demu wa chuo halafu utakuja kuomba ushauri hapa jinsi kitakavyokufanya, maana atakugeuza wewe ndio mzazi wake, huku anapata mkopo, mzazi wake anamtumia, lakini haviridhiki vinapenda maisha makubwa sana ndio maana vinagawa nyuchi kwa pesa
 
AAh, kids, kids! jamani wazee wenzangu kina Chriss, FL1, MJ1, Nyamayao, Fidel nk. nk, kazi tunayo jamani, tena kubwa tu,, nafikiri itabidi tuanzishe library ya mahusiano tuwe tunadesa kwanza maana hawa vijana watatupa presha na haya mahusiano.
Nachokiona mimi, vijana hawaelezani ukweli wakati wanaanza mahusiano, hawana trust wao kwa wao, hawapendi kuwa responsible na wanachoona wao ni ngono vs pesa.
I am afraid Gudboy kama umeamua kuwa na mpenzi mwanafunzi kuwa responsible bila malalamiko kwamba anakuchuna, au kaeni chini muongee kwa uwazi nini hupendi na nini hapendi, unajua wanawake tuko tofauti, sie wengine habari ya kumtegemea mwanaume hatuwezagi kabisa, yani habari ya kuomba sijui vocha, sijui pesa ya matumizi kwa upande wangu siwezagi, sijui ni kwa kuwa sipendi kuwa matonya. lakini kuna wengine wanaoamini ukiwa mwanaume you have to provide, so it depends unampenda kiasi gani, na una priority gani nae. pima mwenyewe kama unaona anakuyeyusha anza.
yaani huyu binti ni mchunaji sana, nilikua nampenda kiukweli ukweli lakini the way anvyobehave nahisi siku nikifulia atagawa uroda kwa masela au hata boss ili mradi apewe cash, ila sasa naanza kusepa kimtindo
 
Gud boy, mie sina cha kukushauri, ila shukuru hujaombwa hela za salun au kuweka gari mafuta kuna watu wanahayo majukumu, unaweka gari mafuta na hata lifti huambulii. Ngoja nikupe orodha fupi.

Man #1 - vocha na zawadi ndogo ndogo
Man #2 - Pocket money/matumizi mbali mbali
Man #3 - Kuweka gari mafuta na kulipeleka garage
Man #4 - Wakutoka nae outing
Man #5 - Wakula nae tunda

Sikuvunji moyo lakini kuna mtu the other side anafaidi hizo vocha unazotuma

Una bahati sana LF. Mi nipatie hiyo #5.
 
Kijana nakupa pole kumbe wewe mwenyewe mwananfunzi,kwa hiyo pesa ya matumizi unayopewa na wazazi ndo mnagawana na girl friend wako,na inavyoonekana wewe wakati unamtokezea ulimwonyesha wewe ni matawi sana, na inawezekana ulikua unajisifia sana ndo maana naye anakutumia effectively,wala usilalamike ni wewe mwenyewe ulimzoesha kwa hiyo kama unaona uzalendo unakushinda waachie wakina Liyumba (Chrispin) and his Co.

Mama Msindima nakupa masaa sita ya kunitaka radhi. Lol! Liyumba? Si afadhali ungenifananisha na Athumani Ali Maumba?
 
Gudboy huyo Girl wako kwenye swala la kuomba Vocha harafu hakupigii then anakuka kuomba tena hilo ni Tatizo ....!! kwingine mie sisemi wenzangu wameshaongea yooote
nashukuru sana FL1 kwa ushauri mzuri
 
DAH mKUU achana kabisa na kitu inaitwa Denti baba awe wa secondary, chuo wote ni noma tupu, hawa wanakuwa opportunist sana, kutokana na kuwa ktk jamii ya watu tofauti, mashindano ni kila kukicha, wengine nyumbani kwao wanajiweza, wale wasiojiweza lile gap la kipato litafidiwa kutoka kwa ma sugar dady na boyfriends, kweli wanakuwa na uhusiano na watu wengi so ukijifanya wewe ndo mwenye mali mkuu umeumia. Tena huyo yupo Morogoro na wewe upo sijui DAR hapo mwana kubali tu yaishe nadhani kwa jinsi ulivyoelezea huyo demu alikukubali ili aongeze wigo wa mapato yake pindi anapochacha alternatives ziwe nyingi ndo maana unaona alikupa mara moja kukuweka kundini sasa kinachofuata ni maumivu ya kupigwa virungu kila kukicha, mara pesa mara Voucher, na uiona unatuma vocha halafu hutumiwi hata sms moja ujue kuna mchizi mwenye mali na wewe ni kitega uchumi, hiyo ndo hali halisi siku hizi , ukikutana na demu wa chuo km uko njema mazee hukataliwi, hawakatai these days ila financial position yako ndo itakuweka kwenye category ipi, sasa na wewe ni denti km yeye hahaha mkuu hapo jitoe mapemaaaa najua pale Moro walimu wa SUA, IDM, wafanyakazi wa ma BEnki, TRA lzm watakuwa wanajimegea tokana na kipato chao.
hilo nakubaliana nalo kabisa halafu huyo mtoto jinsi alivyokua mzuri weee hatari. Halafu sasa nikienda room kwake wale madent wenzake wanataka namba yangu yeye anakataa nisiwape, sasa kuna mshikaji akaniambia kuwa huwa wanaibiana mabwana na yeye alikua akipenda sana kuniambia niende ili auze sura nami, sasa wale wenzake wanaona wivu
 
Back
Top Bottom