Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Mchumba wewe jana uliniudhi na hukuomba msamaha,kwa kunionyesha mbele za watu.Lakini mimi sijambo ,mzima wa afya tele
Nilitaka jamii ione navyofaudu. Niwie radhi basi basi, husahau? Hahahaha! Ka button ka thanks leo sikaoni, ningekutwangia kamoja.