Je ni uoga tu au kuna la zaidi?

Usiwe na wasi wasi Nyamayao (Babra),

Hili suala lina utata mkubwa. Mimi chipimi HIV na wala DNA chipimi pia.

Mwenyewe naishi kwa kanuni ya imani. NAMWAMINI MWENZANGU (my sweet wife in this case) HADI NIPATE SABABU ZA KUNIAMINISHA VINGINEVYO. Kwa sasa bado zsiijazipata hizo sababu. Maisha yanasonga mbele!

So unatushauri kuwa hadithi tunazozisikia za kina mama/baba ambao ni wake/waume za watu wakiwa na mipango ya nje -tuzipotezee?
Takwimu zinazoonyesha ukimwi kwa wanandoa -tuzipotezee
habari za nyumba ndogo na viserengeti boys-tuzipotezee kuwa wenzi wetu katu hawawezikuwa katika makundi hayo?

What if ukijagundua kuwa mwenzi wako anayafanya hayo kisiri na mbaya zaidi uje ugundue umeshaambukizwa -utamlaumu nani?

just like the shock you get unapopewa negative results za DNA?
 
I guess ni bora nilivyoamua kuishi maisha yangu ya kutoku-date exclusively mtu mmoja jambo linalonifanya niwe mwangalifu sana hata ktk mahusiano ya juu juu niliyo nayo na wanawake, kwa sababu watu hawaaminiki, watu ni waongo kwa asili, na ni vigumu kumwamini mtu. Single life is the way to go people.
mwe!!:confused:
 
Pamoja na kwamba kuna counselling unakwenda kupima bila sababu kama chizi? Lazima uwe na sababu ya msingi.

Kama una wasi wasi kwa nini usiende ukapima peke yako kwanza kuliko kum-terrorize mwenzako kwa kumwambia point blank kuwa unatilia shaka uaminifu wake kwenye ndoa? This is the last thing I would want to hear from my honey!
Baby I know but hata nikipima mimi peke yangu does it mean tuko salama? Inawezekana nikawa carrier na nimekuambukiza wewe switii. Loh leo kazi ipo!!

Na kumwambia wife twende tukacheck DNA hutilii shaka uaminifu wake kwenye ndoa?
 
Mi nadhani hapo inawezekana uposahihi...u need some rest my dear....halafu ufanye reflections

Kaka yaani niache tu

Najaribu kufikiria iwapo UKIMWI ungekuwa unaambukizwa kwa kunywa maji ingekuwa rahisi hata kuwashauri watu wakapime maana uwezekano kuwa maji ya chupa si salama wangeamini maana ni wengi wanakunywa maji hayo.
 
Ni kweli hakuna uaminifu kwenye ndoa nyingi sana na ndio maana mimi sitaki kabisa kusikia hizi habari za ndoa. na sitakuja kuoa ng'o. Hata kuchangia harusi za watu nimeshaacha siku hizi. Ni kuleteana umaskini tu wakati watu wenyewe most likely hawataiheshimu ndoa yao na viapo walivyopeana.

Sasa watu mko kwenye ndoa halafu hamuaminiani? WTF? Hai make sense kabisa. Ni bora muishi pamoja lakini msiseme eti kuwa mko kwenye ndoa kwa sababu msingi mzima wa ndoa ni imani. Sasa kama imani haipo hiyo ndoa itakuwepo kweli au mnayeyushana tu....?

Kwa maelezo yako hapo juu hii thread iko nje ya viwanja vyako. Hapa wanaongea wale ambao wanacommitment za ndoa na siyo wale wa "bado nipo nipo kwanza" kama wewe. Maisha ya ku-date ni too artificial. Na kama huwezi kubeba risk ya kumwamini mtu ambaye umejikabidhi kwake basi hii kitu umekukalia kushoto. Labda siku nyingine utatusasidia sana tutakapohitaji uzoefu wa cheating kwenye mahusiano yasiyo ya kudumu. Kwenye ndoa ni ama unaamini au unaishi kwa kizunguzungu kama anavyoeleza MJ1..
 
We Omega Psi Phi utaruka ruka nje mpaka lini? Unataka nywele nyeupe mkichwa ndo ufunge pingu?
 
So unatushauri kuwa hadithi tunazozisikia za kina mama/baba ambao ni wake/waume za watu wakiwa na mipango ya nje -tuzipotezee?
Takwimu zinazoonyesha ukimwi kwa wanandoa -tuzipotezee
habari za nyumba ndogo na viserengeti boys-tuzipotezee kuwa wenzi wetu katu hawawezikuwa katika makundi hayo?

What if ukijagundua kuwa mwenzi wako anayafanya hayo kisiri na mbaya zaidi uje ugundue umeshaambukizwa -utamlaumu nani?

just like the shock you get unapopewa negative results za DNA?

Nisome vizuri dada yangu. Nimesema, "mimi mwenyewe....". Sina maana kuwa haya mambo yote uliyotaja hapo juu hayapo. Wewe pia tupatie jinsi unavyo deal na issues ili tupate shule. Kwenye haya mambo hakuna generalization. Yapo na kila moja ni unique. Hakuna short cut ya kuyashughulikia.

Mimi sipimi vyote, DNA wala HIV. Ila ukitupa case yako tutakushauri tu. That's my side!
 
Kwa maelezo yako hapo juu hii thread iko nje ya viwanja vyako. Hapa wanaongea wale ambao wanacommitment za ndoa na siyo wale wa "bado nipo nipo kwanza" kama wewe. Maisha ya ku-date ni too artificial. Na kama huwezi kubeba risk ya kumwamini mtu ambaye umejikabidhi kwake basi hii kitu umekukalia kushoto. Labda siku nyingine utatusasidia sana tutakapohitaji uzoefu wa cheating kwenye mahusiano yasiyo ya kudumu. Kwenye ndoa ni ama unaamini au unaishi kwa kizunguzungu kama anavyoeleza MJ1..

Hii thread ina progress na kupanuka kama zilivyo thread/mada zingine.

Halafu unasema maisha ya ku-date "ni too artificial"....nini kilicho genuine ktk maisha ya ndoa kama mambo yenyewe ni nyumba ndogo na kuleteana migonjwa na kubambikiana watoto?
 
We Omega Psi Phi utaruka ruka nje mpaka lini? Unataka nywele nyeupe mkichwa ndo ufunge pingu?

Hehehehehee...wewe Fideli wale waliooa na kuolewa lakini bado wanarukaruka wana tofauti gani na mimi? Na usisepe....nijibu swali langu.
 
Hii thread ina progress na kupanuka kama zilivyo thread/mada zingine.

Halafu unasema maisha ya ku-date "ni too artificial"....nini kilicho genuine ktk maisha ya ndoa kama mambo yenyewe ni nyumba ndogo na kuleteana migonjwa na kubambikiana watoto?

Nasema hivyo kwa sababu ni transition. Hakuna kitu real kwenye kipindi cha mpito. Pita kwanza ndo ukane na vitu vyenywe. Hiyo (blue) ndiyo real life. You either live it or run away (if u can)!
 
Hapana SMU haimaanishi hivyo kuwa tuwe tunapima kila mara-kinachoniumiza ni kutokupima kabisa kwa sababu kama hatutapima ina maana hatuwezijua status zetu na kuanza kujipanga mapema- inaniuma ninapofikiria uwezekano wa wanandoa kuwaacha watoto wao bado ni wadogo when it is too late kuanza kupanga.

Na bahati mbaya fisadi wa ngono hana alama usoni- so kama umelijua hili kwa nini uamini na kuyaweka maisha yako na ya wanao at risk?

Nakuelewa, lakini kama unataka kujua HIV status, kwa msingi wa hayo niliyoyasema si inaweza kubadilika within minutes tu? Si lazima mtu awe hayupo kwa muda mrefu (masomoni, kikazi etc) ndio anaweza kuwa ameambukizwa!

Kupima kwa maana ya kupanga maisha ni jambo jema. Lakini kama ni precaution ili mwenza asikuambukize sidhani kama inawezekana kwa maisha ya kawaida ya ndoa. Ni vizuri wanandoa wakaenda kupima HIV pamoja lakini kama mmoja hayupo tayari, si vema kumlazimisha (Unless kama unasuspect alikuwa exposed mahali, in which case itatakulazimu umwambie ukweli kuhusu wasiwasi wako!).
 
Nasema hivyo kwa sababu ni transition. Hakuna kitu real kwenye kipindi cha mpito. Pita kwanza ndo ukane na vitu vyenywe. Hiyo (blue) ndiyo real life. You either live it or run away (if u can)!

What do you mean pita kwanza ndo ukane vitu vyenyewe? Na sikuelewi kabisa....unasema hakuna kitu real kwenye kipindi cha mpito? WTF.....what's real about cheating on your wife or husband?
 
Nakuelewa, lakini kama unataka kujua HIV status, kwa msingi wa hayo niliyoyasema si inaweza kubadilika within minutes tu? Si lazima mtu awe hayupo kwa muda mrefu (masomoni, kikazi etc) ndio anaweza kuwa ameambukizwa!

Kupima kwa maana ya kupanga maisha ni jambo jema. Lakini kama ni precaution ili mwenza asikuambukize sidhani kama inawezekana kwa maisha ya kawaida ya ndoa. Ni vizuri wanandoa wakaenda kupima HIV pamoja lakini kama mmoja hayupo tayari, si vema kumlazimisha (Unless kama unasuspect alikuwa exposed mahali, in which case itatakulazimu umwambie ukweli kuhusu wasiwasi wako!).

Exactly. Ndicho ninachosema hapa wajameni......sababu hasa ndiyo italeta maana na nia ya wewe 'kumshauri' akapime.

Lakini sababu yenyewe ikiwa ni eti kwa vile ulikuwa mbali , masomoni, etc, hiyo kwangu haitoshi na inaspell kitu kimoja tu kuwa HUNIAMINI. Na kama huniamini hakuna sababu ya kujifanya kuendelea kuishi kama MUME na MKE. narudia tena UAMINIFU kwa maana ya Dark City ndo msingi wa ndoa wajameni, kama hamuaminiani kwa vile tu wanandoa siku hizi wanaongoza kwa virusi, kwa nini tuoane? tuvunje tu ndoa
 
Hehehehehee...wewe Fideli wale waliooa na kuolewa lakini bado wanarukaruka wana tofauti gani na mimi? Na usisepe....nijibu swali langu.

Natamani nilete posa lakini inaonyesha wewe katili sana.
Wenye tamaa zao ndo hao wanaruka ruka ndo maana mm huwa nasema kama unapenda mnene oa na kama unapenda mwembamba oa au oa wote kwa pamoja si ruksa bana kikubwa maridhiano ukiona huyo bado hajaridhika anatoka nje basi ni kicheche.
 
What do you mean pita kwanza ndo ukane vitu vyenyewe? Na sikuelewi kabisa....unasema hakuna kitu real kwenye kipindi cha mpito? WTF.....what's real about cheating on your wife or husband?

Don't go too far. Cheating is everywhere; iwe kwenye uchumba au kwenye ndoa. Na siyo wote wanacheat ingawa watu wanaocheat wanasemekana ni wengi. I am not among them.
Ninachomaanisha ni kuwa kuishi single siyo suluhisho la ukimwi na other heart-breaking encounters. Huwezi kuipenda ngoma inayochezwa mbali na hata sauti zake husikii. Kaingie hadi kilingeni ucheze ili uwe na upande. Mimi ninao na ndiyo maana ninaongelea uzoefu wangu. Lakini sina maana kuwa hakuna watu wanaoumia kwenye ndoa kama vile ambavyo kuna wale wanaofurahia. Halafu kwenye ndoa hakuna suala moja tu la ukimwi na DNA. Yapo mengi tu. Ukijenga wasi wasi basi wewe pressure itakaa kwenye 150/120 mmHg milele and your days will be just numbered!
 
Natamani nilete posa lakini inaonyesha wewe katili sana.

Ulete posa kwetu? Heheheheheheeee.....samahani mimi napenda wanawake bana. Mtafute Bwabwa kama unapenda wanaume.....juzijuzi alikuwa anatafuta mpenzi hapa.
 
Back
Top Bottom