Je ni uoga tu au kuna la zaidi?

Kupima ngoma msikilizie bora upime ujikute upo safi lakini ukipima ukajikuta vitu vimechafuka mmh sijui nn kitatokea kwa wenye miioyo miepesi kama hewa hapo tunaanza kuzungumzia mambo mengine mmh.
 
Kupima ngoma msikilizie bora upime ujikute upo safi lakini ukipima ukajikuta vitu vimechafuka mmh sijui nn kitatokea kwa wenye miioyo miepesi kama hewa hapo tunaanza kuzungumzia mambo mengine mmh.

Unaweza ukaya uko freshi kabisa lakini ukapima na kuambiwa unavyo...hapo unaweza ukaugua ghafla na kufa baada ya siku chache tu wakati otherwise ungeweza kupeta na hivyo virusi hata kwa miaka 20 bila hata kujua kama unavyo.
 
Lakini MwanajamiiOne, kupimwa virusi na kupima dna kuhakikisha kama kweli mtoto ni wako ni vitu viwili tofauti ingawa vyote ni vya muhimu. Hebu jiweke ktk nafasi ya mwanamme ambaye kadanganywa na kubambikiwa mtoto asiye wake halafu akamlea na baadaye kuja kugundua kuwa si wake? Utajisikiaje kama ni wewe? Hakuna mtu ambaye anapenda kutwishwa jukumu ambalo si lake na ni kutokana na udanganyifu wa baadhi ya wanawake ndio maana baadhi ya wanaume wanakuwa wepesi kuomba upimaji wa dna kufanywa ili wahakikishe kweli majukumu yaliyopo mbele yao ni yao kweli. Na hilo halina ubaya wowote na mwanamke kama ana uhakika baba ni nani wala hatabisha wala kusita kwenda kupima. Tunaishi kwenye dunia ya kutokuaminiana siku hizi.

Omega ni kweli kabisa usemayo na mimi sijasema kuwa dna haina umuhimu but nawe fikiria uko na mpenzio ambaye unamwomba muwe na kawaida ya kupima VVU then anakasirika kwa kuwa anahisi humuamini then after a while unagundua amekuambukiza ugonjwa? utajisikiaje au rather utamfanyaje? ni wanaume au wake wangapi wanawaletea wake au waume zao UKIMWI na kuwaacha wakiteseka?

Mie bado nasema tujenge utaratibu wa kucheck yaani tuufanye ni sehemu ya maisha yetu.
 
Unaweza ukaya uko freshi kabisa lakini ukapima na kuambiwa unavyo...hapo unaweza ukaugua ghafla na kufa baada ya siku chache tu wakati otherwise ungeweza kupeta na hivyo virusi hata kwa miaka 20 bila hata kujua kama unavyo.
Na ndio maana kuna kurudia mara tatu- kama wewe umekuwa muaminifu ndani ya ndoa yako na mwenzio ameonekana hana una haki ya kukata rufaa -unless umekuwa kiruka njia.

Hata hivyo ukigundulika si kuna ushauri nasaha wajameni? hebu tubadilikeni wapenzi
 
Omega ni kweli kabisa usemayo na mimi sijasema kuwa dna haina umuhimu but nawe fikiria uko na mpenzio ambaye unamwomba muwe na kawaida ya kupima VVU then anakasirika kwa kuwa anahisi humuamini then after a while unagundua amekuambukiza ugonjwa? utajisikiaje au rather utamfanyaje? ni wanaume au wake wangapi wanawaletea wake au waume zao UKIMWI na kuwaacha wakiteseka?

Mie bado nasema tujenge utaratibu wa kucheck yaani tuufanye ni sehemu ya maisha yetu.

Kwa kweli ukiambukizwa virusi na mwenzako si haki kabisa kama wewe ulikuwa mwaminifu na yeye kavipata hivyo virusi kwa njia ya ngono na wengine (kwani virusi vina njia nyingine za maambukizi).

Ndio maana mimi nina mtazamo tofauti kidogo ikija kwenye haya mambo ya mahusiano. Mtu ukiamua kuwa na uhusiano na mtu ujue unachukua risk flani na maisha yako.

Na utaratibu wa kupimwa mara kwa mara si mbaya. Lakini ukiwa na mwenzako na mmekubaliana kutoka exclusively, nini haja ya kupimwa mara kwa mara? Huoni kwamba mke na mume kwa mfano, kwenda kliniki mara kwa mara kupimwa ukimwi ni jambo linaloashiria hakuna uaminifu ktk ndoa yao?
 
Napata shida kweli hapa hasa nikifikiria risk tunayocheza nayo in the name of UAMINIFU upo ndani ya ndoa!! Mi jamani nikifikiria kukiacha kibaby changu huku nisijue kinalelewaje inaniuma sana unless tuseme sasa tumeamua kuuchukulia ugonjwa huu kama malaria tu kuwa upo na ukiupata its part of life (Sisemi kuwa ukiupata ni kifo la hasha kwani najua kuna wanaoishi hata baada ya kuupata but jamani kama tuna uwezo wa kuzuia kwa nini tusizuie?


Tujenge mazoea ya kupima wapendwa yaani iwe among out life's menu please
MJ1, ukisoma post ya farmer... inajieleza wazi, kwamba kupima kunahusishwa ka kukosa uaminifu kuliko maana halisi ya kupima

soma post yako ya kwanza inaonyesha wazi kwamba main purpose ni kwasbabu ulimuacha peke yake kuliko kingine; which is exactly a similar scenario na ile ya mwanaume kuomba DNA.... wea re all scared of being the prime suspect even though deep inside we know that we are not guilty

sijui...
 
Habari ndugu

naombeni tusaidiane kuelewana kina wapwa na binamu kwa sababu - kwa wanaume rahisi kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)


HIV na DNA ni washakaji wa damu.wote wana baba 1


Na kina dada naambiwa nasi tu wagumu kukubali kucheck vinasaba- pamoja na ukimwi

Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga? Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?

Hapa umepitisha HUKUMU kuwa wanaume ni wazinzi je wanafanya na manyani au miti? si wanafanya na wanawake? so badilisha maswali yako.



Nisaidieni tafadhali


Nawakilisha
 
Kupima ngoma msikilizie bora upime ujikute upo safi lakini ukipima ukajikuta vitu vimechafuka mmh sijui nn kitatokea kwa wenye miioyo miepesi kama hewa hapo tunaanza kuzungumzia mambo mengine mmh.

Fidel na ndio maana kuna counselling kaka yangu.
 
Hakuna sehemu inayosema kuwa wanawake ni wepesi kupima UKIMWI mimi nimeiweka hivyo kwa kuwa kuna thread ilishawahikurushwa juu ya upimaji wa DNA kwa wenetu na ikaonyesha kuwa wanaume walikuwa so possitive kwenye kupima DNA ndo nikauliza why uwepesi huu usiwe na kwenye VVU/UKIMWI?

hahahaaa hahahaaaaa heheheeee... yani wewe!! ningejua ningekususia mazee, kumbe ni ule uchokozi wangu sio!!??
 
Kwa kweli ukiambukizwa virusi na mwenzako si haki kabisa kama wewe ulikuwa mwaminifu na yeye kavipata hivyo virusi kwa njia ya ngono na wengine (kwani virusi vina njia nyingine za maambukizi).

Ndio maana mimi nina mtazamo tofauti kidogo ikija kwenye haya mambo ya mahusiano. Mtu ukiamua kuwa na uhusiano na mtu ujue unachukua risk flani na maisha yako.

Na utaratibu wa kupimwa mara kwa mara si mbaya. Lakini ukiwa na mwenzako na mmekubaliana kutoka exclusively, nini haja ya kupimwa mara kwa mara? Huoni kwamba mke na mume kwa mfano, kwenda kliniki mara kwa mara kupimwa ukimwi ni jambo linaloashiria hakuna uaminifu ktk ndoa yao?
Omega ni kweli usemayo but kwenye post yako iliyopita umesema mwenyewe kabisa kuwa tunaishi katika dunia isiyo na uaminifu- why umwamini mwenzio kiasi hiki? tena ukiwa unapewa na takwimu za wanandoa kuongoza kwa UKIMWI?

Kuna wengine wana utaratibu wa kupima malaria kila mara na kunywa anti-malaria kwa kinga why isiwe kwa UKIMWI?

Mi naona leo kichwa changu hata si kizuri.
 
MJ1,

Kwani inachukuwa muda gani kuambukizwa HIV au kupata mimba nje ya ndoa?

HIV au mimba is a matter of minutes and not hours or days! So kama unawasiwasi na mwenzi wako kiasi hicho inabidi mpime kila siku kabla ya kufanya tendo la ndoa. Believe me, kama ni fisadi wa ngono anaweza kwenda kazini asubuhi akiwa mzima (HIV -ve) lakini akirudi nyumbani jioni ni HIV +ve!
you nailed it!!! kama tunapima kwasababu ya maambukizi basi ujue ni split second tu mtu anapata

suala la kupima DNA na HIV lazima viende sambamba... zote ni methods za quality check kimtindo
 
MJ1, ukisoma post ya farmer... inajieleza wazi, kwamba kupima kunahusishwa ka kukosa uaminifu kuliko maana halisi ya kupima

soma post yako ya kwanza inaonyesha wazi kwamba main purpose ni kwasbabu ulimuacha peke yake kuliko kingine; which is exactly a similar scenario na ile ya mwanaume kuomba DNA.... wea re all scared of being the prime suspect even though deep inside we know that we are not guilty

sijui...

Aksante nadhani inatubidi tubadili hiyo dhana hapo juu.

Well niliiweka hivyo kwa kuwa ndiyo inayoelekea kukubalika kuwa kwa kuwa mmekuwa mbali chances ni kubwa kuwa wote au mmoja wenu anaweza akawa amechepuka nje ya mahusiano, so ni halali mkienda kucheck kwa ajili ya kujilinda wote

But I guess nilikosea kuiweka hivyo pengine ningesema tu muda wote ni muhimu kujua afya zenu through utaratibu maalumu.
 
Omega ni kweli usemayo but kwenye post yako iliyopita umesema mwenyewe kabisa kuwa tunaishi katika dunia isiyo na uaminifu- why umwamini mwenzio kiasi hiki? tena ukiwa unapewa na takwimu za wanandoa kuongoza kwa UKIMWI?

Kuna wengine wana utaratibu wa kupima malaria kila mara na kunywa anti-malaria kwa kinga why isiwe kwa UKIMWI?

Mi naona leo kichwa changu hata si kizuri.

I guess ni bora nilivyoamua kuishi maisha yangu ya kutoku-date exclusively mtu mmoja jambo linalonifanya niwe mwangalifu sana hata ktk mahusiano ya juu juu niliyo nayo na wanawake, kwa sababu watu hawaaminiki, watu ni waongo kwa asili, na ni vigumu kumwamini mtu. Single life is the way to go people.
 
Nawakilisha
Kichwa am sorry kwa kuiweka hivyo ilikuwa ni upeo wangu mdogo but kadri mjadala ulipokuwa unaendelea nadhani mada ilijirekebisha kimtindo.

But nitarekebisha thread kusuit mjadala

Aksante kwa angalizo
 
I guess ni bora nilivyoamua kuishi maisha yangu ya kutoku-date exclusively mtu mmoja jambo linalonifanya niwe mwangalifu sana hata ktk mahusiano ya juu juu niliyo nayo na wanawake, kwa sababu watu hawaaminiki, watu ni waongo kwa asili, na ni vigumu kumwamini mtu. Single life is the way to go people.

hicho ndicho ninachokizungumzia hapa- kama umeshajua na kugundua kuwa watu si waaminifu hata kidogo- what makes you think aliyeolewa au kuoa ni mwaminifu kwa mwenzie?
 
hapo kwangu ndio tatizo, nitajiuliza mara 100 kwamba ameonaje/hic nini mpaka kafikiria tukafanye hivyo, kwamba haamini watoto anaowalea sio wake? na kwanini haamini wakati mie najua 100% ni wake, bac habari mgongano tu hapo...kuhusu HIV hapa kwangu sio tatizo sana, najiamini na naiamini mienendo yangu, tatizo na yeye anaiamini yake? ukimwambia wazo hilo utaanzishiwa historia.....ndio mana nasema wala cjielewi kwenye hii thread.


Usiwe na wasi wasi Nyamayao (Babra),

Hili suala lina utata mkubwa. Mimi chipimi HIV na wala DNA chipimi pia.

Mwenyewe naishi kwa kanuni ya imani. NAMWAMINI MWENZANGU (my sweet wife in this case) HADI NIPATE SABABU ZA KUNIAMINISHA VINGINEVYO. Kwa sasa bado zsiijazipata hizo sababu. Maisha yanasonga mbele!
 
MJ1,

Kwani inachukuwa muda gani kuambukizwa HIV au kupata mimba nje ya ndoa?

HIV au mimba is a matter of minutes and not hours or days! So kama unawasiwasi na mwenzi wako kiasi hicho inabidi mpime kila siku kabla ya kufanya tendo la ndoa. Believe me, kama ni fisadi wa ngono anaweza kwenda kazini asubuhi akiwa mzima (HIV -ve) lakini akirudi nyumbani jioni ni HIV +ve!

Hapana SMU haimaanishi hivyo kuwa tuwe tunapima kila mara-kinachoniumiza ni kutokupima kabisa kwa sababu kama hatutapima ina maana hatuwezijua status zetu na kuanza kujipanga mapema- inaniuma ninapofikiria uwezekano wa wanandoa kuwaacha watoto wao bado ni wadogo when it is too late kuanza kupanga.

Na bahati mbaya fisadi wa ngono hana alama usoni- so kama umelijua hili kwa nini uamini na kuyaweka maisha yako na ya wanao at risk?
 
Fidel na ndio maana kuna counselling kaka yangu.

Pamoja na kwamba kuna counselling unakwenda kupima bila sababu kama chizi? Lazima uwe na sababu ya msingi.

Kama una wasi wasi kwa nini usiende ukapima peke yako kwanza kuliko kum-terrorize mwenzako kwa kumwambia point blank kuwa unatilia shaka uaminifu wake kwenye ndoa? This is the last thing I would want to hear from my honey!
 
hicho ndicho ninachokizungumzia hapa- kama umeshajua na kugundua kuwa watu si waaminifu hata kidogo- what makes you think aliyeolewa au kuoa ni mwaminifu kwa mwenzie?

Ni kweli hakuna uaminifu kwenye ndoa nyingi sana na ndio maana mimi sitaki kabisa kusikia hizi habari za ndoa. na sitakuja kuoa ng'o. Hata kuchangia harusi za watu nimeshaacha siku hizi. Ni kuleteana umaskini tu wakati watu wenyewe most likely hawataiheshimu ndoa yao na viapo walivyopeana.

Sasa watu mko kwenye ndoa halafu hamuaminiani? WTF? Hai make sense kabisa. Ni bora muishi pamoja lakini msiseme eti kuwa mko kwenye ndoa kwa sababu msingi mzima wa ndoa ni imani. Sasa kama imani haipo hiyo ndoa itakuwepo kweli au mnayeyushana tu....?
 
Back
Top Bottom