KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
wadau mtanisamehe,mimi nimekua nikitatizwa na utambulisho wa Serikali yetu hii pendwa,naomba msaada,hivi serikali yetu ya muungano inapaswa kutambulika vipi kati ya SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AU SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA?Kuna moja ina makosa lazima je ipi sahihi?