Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamtumia sms mpenzi wake wa zamani. Ukiona hayo yanafanyika tu, ujue unakabidhiwa kicheche kwa kiapo muda sio mrefu
Haya maendeleo ya sekta ya mawasiliano yanatupeleka pabaya
Haya maendeleo ya sekta ya mawasiliano yanatupeleka pabaya
ungekuwa kuwa mkuu ungefanya nini,na kama ulishamuonya akazid kuendelea
Jibu ni wote vicheche. Hapo ngoma droo kwa sababu ingekuwa mwingine hayuko bize angegundua tofauti aliyonayo mwenzake.Mbona kidume naye yupo anabrowse fesibuku na aipadi yake...
Baibo siku izi ipo kwe vimchina vya androids.
Acha hao wanaotengeneza mazingira ya kuleta fujo kwa kusingizia makaratasi yao yamekojolewa.
kuna mtu kasema eti wanabrowse neno kwenye aipadi na simu zao, si unajua baibo siku hz ipo kwenye softikopi...Jibu ni wote vicheche. Hapo ngoma droo kwa sababu ingekuwa mwingine hayuko bize angegundua tofauti aliyonayo mwenzake.
Mbona kidume naye yupo anabrowse fesibuku na aipadi yake...
View attachment 69165
Mabinti wa siku hizi wakiwa kanisani wakat wa kufunga ndoa,wanakuwa bize na simu wakichat facebook na mitandao mingine ya kijamii,badala ya kusikiliza nini kinaendelea,mi nawaomba mabinti wenye hii tabia muache ningekuwa mimi ningemchapa kibao uyo binti apo
Hiyo nimeipenda, cause Softcopy/Online bible itasaidia sana kuzuia watu wanaopenda kukojolea vitabu vya wenzao.kuna mtu kasema eti wanabrowse neno kwenye aipadi na simu zao, si unajua baibo siku hz ipo kwenye softikopi...