Je ni sahihi?

Aug 17, 2009
60
4
Mume anarudi toka kazini anapokewa na mkewe halaf hawajajuliana hali vizuri anauliza dada amelala?(mfanyakaz),au unaenda dukan na mumeo unamwambia ninunulie kiatu,anakuambia nimeona cha dada.Je ina maana anajali sana wa2 wa nyumbani kwakwe pamoja na dada?,na mume kumkumbatia dada anapofika nyumbani ni sahihi pia?
 
huyo dada anataka kumpindua mama mwenye nyumba, timua haraka!
 
Yawezekana anamtamani nini?dada ana mwaka sasa nyumbani na hawajawah kuachwa pa1 ila ndo katoka salimia kwao haya yanajitokeza
 
Mnamwonea tu dada wa watu...dada wa watu mlokole..wala hata huyo mwanaume hana mpango nae huyo dada...ni kwa sababu ya nanilii tu..ile nin vileee....!?
 
Je, dada anaonekana kunawiri? Kama jibu ni NDIYO basi watu wameshasherehekea 50yrz ya UHURU!
 
huyo baba nae anajisahau sana, si atamani kimya kimya?? kwani hadi aseme?
 
Hoyee beki tatu mnaoziweka nyumba sawa katika nyanja zote hadi baba mwenye nyumba anakuweka kwenye paji la uso.

Good kastama kea!
 
he he he sometimes sisi wanaume tunakuwa wapumbavu...anashindwa kumega kimya kimya?
 
Back
Top Bottom