BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Tumeshuhudia kama mara mbili tatu hivi baadhi ya mawaziri wakiikosoa serikali hadharani au kupitia media. Tuliona katika sakata la Dowans jinsi ambavyo Mh Mwakyembe na Sitta walivyotoa opinions zao openly. Na leo tena Mh Sitta amenukuliwa aki critisize mfumo wa elimu kuwa ndio unazaa mafisadi. Nakubaliana na hii hoja lakini pia nakubaliana na sakata la Dowans.
Je nataka kujua kama media is an ideal platform for a minister to critize the goverment regardless if the criticism is constructive or not taking into consideration that he/she is the membel of the same panel.
Apart from collective responsibility, I thought ministers have the right platform chaired by the President and thought this would be the platform where they could throw their stones, crying, singing hymns, bump and dance.
Lakini pia sitaki kuamini kuwa mimi najua kuliko wao kwamba wapi wanatakiwa kutoa lawama zao, je wanafanya kwa lengo gani? Do they mean to impress Tanzanians?
I am admiring Sitta and Mwakyembe but I think they should follow the proper channel when politicking.
Thanks - Blue Balaa
Je nataka kujua kama media is an ideal platform for a minister to critize the goverment regardless if the criticism is constructive or not taking into consideration that he/she is the membel of the same panel.
Apart from collective responsibility, I thought ministers have the right platform chaired by the President and thought this would be the platform where they could throw their stones, crying, singing hymns, bump and dance.
Lakini pia sitaki kuamini kuwa mimi najua kuliko wao kwamba wapi wanatakiwa kutoa lawama zao, je wanafanya kwa lengo gani? Do they mean to impress Tanzanians?
I am admiring Sitta and Mwakyembe but I think they should follow the proper channel when politicking.
Thanks - Blue Balaa