alfu hta kodi pia hawalipi na hii inakuaje pia..?
Hivi kuna sheria inayowaruhusu wanajeshi kutokulipa nauli?
Ina m,aana hawana kipato cha kuwawezesha kulipa nauli?
Mbona wakienda dukani kwa Mangi hulipa bei kamili?
Kama mimi mwalimu wa shule ya msingi,mimi nisiye na kazi hapa mjini,mimi kinyozi wa salooni huku uswahili,mimi mama ntilie nalipa nauli,kwa hawa jamaa wasilipe?
Hapa nimekaa nao watatu,sisi tunachajiwa nauli,wao wanapiga soga tu.
Koda amewaangalia kwa unyonge na kuondoka zake.
Hili tatizo makondakta ndo wamelileaNyie mnalalama tu makondakta ndo wenye makosa wanawaogopa kuwadai nauli.