kuna vitu huwa vinatokea nchini huwa vinanichanganya akili sana.jana mkurugenzi wa bohari ya dawa(MSD) kanda ya mashariki alimkabidhi hundi ya shillingi milioni 10 katibu wa TFF kama mchango wa shirika hilo kwa Twiga stars.sikatai kwamba twiga stars inastahili kusaidiwa na wadau mbalimbali ikiwemo MSD lakini swali langu je ni sahihi kimantiki kwa MSD kusaidia twiga stars huku tukiambiwa mahospitali hayana dawa na mojawapo ya tatizo ni ukosefu wa hela?
karibuni wadau.......
kuna ka harufu cha ufisadi hapa
Kutoa ni moyokuna vitu huwa vinatokea nchini huwa vinanichanganya akili sana.jana mkurugenzi wa bohari ya dawa(MSD) kanda ya mashariki alimkabidhi hundi ya shillingi milioni 10 katibu wa TFF kama mchango wa shirika hilo kwa Twiga stars.sikatai kwamba twiga stars inastahili kusaidiwa na wadau mbalimbali ikiwemo MSD lakini swali langu je ni sahihi kimantiki kwa MSD kusaidia twiga stars huku tukiambiwa mahospitali hayana dawa na mojawapo ya tatizo ni ukosefu wa hela?
karibuni wadau.......