je ni sahihi kwa waziri mkuu kupanga kukutana na madaktari siku ya ibada??

mkuu huu mfano ni tofauti kabisa!! je huyu kondoo aliingia shimoni siku ya sabato??kwa nini hakutolewa shimoni mpaka tusubiri sabato imefika ndo tunajidai tunahangaika.swali langu linabaki palepale kuna usahihi wowote wa kukutana na madokta jumapili?
Kwa Mujibu wa Biblia Jumapili ni Siku ya Kwanza ya Juma na Si kweli ni siku ya Ibada... Koran Inasema alhamis ni Siku ya Tano ya Juma... Kuwa Makini Wewe Freemasn mlipotosha miaka mingi na bado mwataka kuendelea Kupotosha siku ya Ibada ni Jumapili Shame Heu lete Andiko lolote ndani ya Biblia Lioneshalo Jumapili ni siku ya Ibada... au Nyamaza kamuulize Mwalimu wako wa Dini fresh ndipo ulete Mapovu yako humu..
 
mkutano ulikuwa uanze saa 4 asubuhi.hivi ibada nyingi huwa zinaanza saa ngapi?
 
Kwa Mujibu wa Biblia Jumapili ni Siku ya Kwanza ya Juma na Si kweli ni siku ya Ibada... Koran Inasema alhamis ni Siku ya Tano ya Juma... Kuwa Makini Wewe Freemasn mlipotosha miaka mingi na bado mwataka kuendelea Kupotosha siku ya Ibada ni Jumapili Shame Heu lete Andiko lolote ndani ya Biblia Lioneshalo Jumapili ni siku ya Ibada... au Nyamaza kamuulize Mwalimu wako wa Dini fresh ndipo ulete Mapovu yako humu..
punguza jazba!! ina maana serikali yetu ni ya kifreemanson kuruhusu mapumziko siku ya jumapili?
 
Kwa mujibu wa biblia kwani siku ya ibada ni lini?
Siku ya Saba ambayo ni Sabato...Saturday au Sabbath kamusi na Dictionery zinaeleza Fresh Hata Yesu alikuwa anasali siku hiyo tu )Warumi ndio walipotosha na hadi leo hawana pa kufichia nyuso zao kwa upotoshaji mkubwa uzuri imeandikwa ole wao watakaobadilisha neno la Mungu...
 
Kama kwa kuonana nao leo anaweza kupunguza japo kifo cha Mtanzania mmoja, nadhani ni muafaka na inafaa kabisa... kama kuna Mtanzania, binadamu anaweza kupoteza masiha then sioni kama kuna haja ya kupoteza muda kwa sababu yoyote ile....
mda wa kukutana na madaktari ulikuwepo almost a week ago.lakini kwa kuwa tunapima upepo basi watu wakasubiri siku ya ibada.
hapa inanikumbusha hata ule mfumo mbaya wa kupiga kura jumapili.
 
kimsingi sikubaliani na mheshimiwa pinda kuwa mjanjamjanja,alitaka madaktari wawe wachache ili aweze kuwalaghai?
 
punguza jazba!! ina maana serikali yetu ni ya kifreemanson kuruhusu mapumziko siku ya jumapili?
Jazba sina ila hizo ni aina ya njia za Freemason kupotosha watu England wengi hawaamini kama kuna Mungu kwani wanasema asingeruhusu haya..

Hii Migongano ni kazi za Shetani tu anawatumia hawa ma freemasson kusumbua watu tu kwani kuna kitu gani kisababishe watu au madaktari wasiudumiwe na wao kwa huduma wanayotoa reward yao isiwe nzuri hadi waridhike na serikali inaweza lakini kuwapa haki zao mpaka wachachamae haswa na walete madhara.. Na sio Madaktari tu tumeona mengi sana kuanzia Watoto hadi Wazee Hapo tuna serikali au Mashetani. waso jua Utu ni Nini.. hii kusema Serikali haina Dini ni Laana Haswa. kwani Shetani huchukua nafasi yake.

Sometime huwa tunawachukia hawa viongozi wetu lakini ukweli wameingia mifumo ya Shetani.
 
Siku ya Saba ambayo ni Sabato...Saturday au Sabbath kamusi na Dictionery zinaeleza Fresh Hata Yesu alikuwa anasali siku hiyo tu )Warumi ndio walipotosha na hadi leo hawana pa kufichia nyuso zao kwa upotoshaji mkubwa uzuri imeandikwa ole wao watakaobadilisha neno la Mungu...

Umenena vyema,hata kwenye biblia ndivyo ilivyo na hakuna sehemu yoyote inayoonyesha kuwa jumapili ni siku ya ibada au mapumziko,
 
Kwa Mujibu wa Biblia Jumapili ni Siku ya Kwanza ya Juma na Si kweli ni siku ya Ibada... Koran Inasema alhamis ni Siku ya Tano ya Juma... Kuwa Makini Wewe Freemasn mlipotosha miaka mingi na bado mwataka kuendelea Kupotosha siku ya Ibada ni Jumapili Shame Heu lete Andiko lolote ndani ya Biblia Lioneshalo Jumapili ni siku ya Ibada... au Nyamaza kamuulize Mwalimu wako wa Dini fresh ndipo ulete Mapovu yako humu..

Hawezi kutoa andiko,mtu akiulizwa uwa hawana majibu ili kujinasua utamsikia anasema kuwa hii ndiyo dini niliyokuta wazazi wangu wanasali!!!wakati hakuna mtu atakayepata wokovu kwa njia ya mzazi na maandiko yapo wazi kwa hili,shetani amekuwa na kawaida ya kufifisha sheria za mungu,mara kunywa usilewe!!,mara kiingiacho si najisi bali kinachotoka ili watu watwange nguruwe yapo mengi ambayo ukianza mjadala inasikitisha jinsi shetani anavyotamba na kuendelea kumweka yesu msalabani.
 
Hii ni critical watu wanakufa - ibada sio lazima isomeke wakati askofu wenu amepanga inasomeka wakati wowote na masaa yoyote yake na sio lazima kwaya, kuonyeshana suti, magauni iwepo

It is simple Ibada na sio lazima mkutane kwenye jengo hilo, Msituni hakuna watu wa kushuhudia mikutano yenu just GOD

Ni Muhimu kukutana na Waziri Mkuu sababu Wananchi Wagonjwa Wanakufa sababu baadhi ya Madaktari wananyimwa haki zao na huku rais wetu Mpendwa na Ujumbe wake wanafurahia Baridi na Shopping za Suit
 
Siku zote naona watu makanisani alfajiri na misikitini maraa kadhaa. Serikali inafanya kazi siku zote. Kwani jumapili madaktari huwa hawafanyi kazi?
 
mkuu meningitis! Hawa watu wanaochangia hapa hawaja kupata vilivyo. Nadhani walitakiwa wajue mgomo huu una wiki nzima sasa. Madaktari wamemuomba waziri mkuu zaidi ya mara tatu akapuuza, hata siku ya Ijumaa walikuwa wanamngoja pale starlight hakutokea. Leo hii aje awaambie wamfuate sjui wapi huko J2, hapo ndipo meningitis anashndwa kuelewa je yupo sahihi? Karibuni kujadili.
 
mkuu meningitis! Hawa watu wanaochangia hapa hawaja kupata vilivyo. Nadhani walitakiwa wajue mgomo huu una wiki nzima sasa. Madaktari wamemuomba waziri mkuu zaidi ya mara tatu akapuuza, hata siku ya Ijumaa walikuwa wanamngoja pale starlight hakutokea. Leo hii aje awaambie wamfuate sjui wapi huko J2, hapo ndipo meningitis anashndwa kuelewa je yupo sahihi? Karibuni kujadili.
 
haina haja ya kuingia dini kwenye suala hili, kuna wengine wapagani, kafiir, waislamu , sabato nk nk tuangalie vitu kwenye suala la kimazingira, muda eneo na kadhalika
 
wakuu naomba kusikia maoni yenu kuhusu hatua ya waziri mkuu kupanga mkutano na madaktari siku ambayo ni mapumziko na siku ya kufanya ibada.je waziri mkuu haeshimu uhuru wa kuabudu wa madaktari?usahihi wa suala hili uko wapi?
je uhalali wa kufanya makubaliano na serikali siku ambayo officially sio siku ya kazi uko wapi?wanasheria mpoo??

Hiyo ni jitihada ya watu fulani serkalini kupambana na wanachokiita mfumo Kristo. Ndiyo maana siku hizi shughuli nyingi za kitaifa zinafanywa Jumapili tena masaa ya ibada ili kuwanajisi watumishi wa serkali wakristo kwa vitisho vya kuwafuta kazi. Kama ni kampeni za Malaria, au chanjo za kitaifa, uchaguzi mkuu n.k Yana mwisho hayaa!!!!
 
haina haja ya kuingia dini kwenye suala hili, kuna wengine wapagani, kafiir, waislamu , sabato nk nk tuangalie vitu kwenye suala la kimazingira, muda eneo na kadhalika
Kusema kweli swala hili linazidi kutuumiza vichwa... Inaonyesha hata hao madaktari hawataki kuonana na Pinda maana sioni sababu ya kutaka hadi madakatari wote wa mikoani wahudhurie au iwe Jumatatu ati Jumapili siku ya Ibada. Nachofahamu mimi wawakilishi wao MTA ndio wanatakiwa kuwawakilisha madaktari wote nchini na sii kundi zima liwepo. Swala la Jumapili au Jumamosi kugeuzwa sababu inanipa mshangao kubwa sana maana madaktari hufanya kazi hata Jumamosi na Jumapili kulingana na shift zao wamepangiwa kazi vipi. Mara ghafla dini inaingizwa tena kwa kutazama dhehebu moja tu..
 
wakuu naomba kusikia maoni yenu kuhusu hatua ya waziri mkuu kupanga mkutano na madaktari siku ambayo ni mapumziko na siku ya kufanya ibada.je waziri mkuu haeshimu uhuru wa kuabudu wa madaktari?usahihi wa suala hili uko wapi?
je uhalali wa kufanya makubaliano na serikali siku ambayo officially sio siku ya kazi uko wapi?wanasheria mpoo??

Inaonekana umeathirika na uti wa mgongo inabidi mh. Pinda afanye jitihada haraka ili madaktari warudi kazini upate tiba; majibu unayo kaa chini ufikirie.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Back
Top Bottom