meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
wakuu naomba kusikia maoni yenu kuhusu hatua ya waziri mkuu kupanga mkutano na madaktari siku ambayo ni mapumziko na siku ya kufanya ibada.je waziri mkuu haeshimu uhuru wa kuabudu wa madaktari?usahihi wa suala hili uko wapi?
je uhalali wa kufanya makubaliano na serikali siku ambayo officially sio siku ya kazi uko wapi?wanasheria mpoo??
je uhalali wa kufanya makubaliano na serikali siku ambayo officially sio siku ya kazi uko wapi?wanasheria mpoo??