WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #21
Ushamba tu watu kuona majina ya kizungu ni mali !
And it is only in Afrika tumecopy kila kitu cha wazungu...angalia China, Japan have kept their names!
Ajabu US/Ulaya hakuna wanaocopy majina yetu!
Ni swala la mindset yetu sisi haswa Waafrika!
Mkuu,
Nimependa points zako.
USA blacks wanajitahidi sana kujipa majina ya kiswahili kama vile "Tukijaaliwa" Malaika n.k.japo hawabadilishi yale majina ya kizungu na kuyaandika kiswahili.