Kumekuwa na tabia tofauti za uvaaji wa suti hasa za wanaume ambapo wengine uvaa na kuacha label ya designer aliyetengeneza suti husika kama vile hugo boss, pierre caldin, georgio armani n.k, wakati huo huo wapo wavaaji wengine wanaosema kuacha label ya designer ni ushamba na mvaaji anapaswa kuing'oa label husika. Je upi ni uvaaji sahihi kwani wapo pia watu wenye heshima zao wasiong'oa hizo label. Tushauriane.