Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Kulikuwa na msichana kipofu aliyejichukia mwenyewe kwa ajili ya upofu.Alimchukia kila mtu isipokuwa boyfriend wake.Siku moja akamwambia boyfriend wake kama ningefanikiwa kuona dunia tu kwa macho basi ungenioa.
Siku moja akapewa macho na mtu asiyemfahamu,akafanikiwa kuona kila kitu,akafanikiwa kumwona boyfriend wake.
Boyfriend wake akamwuliza ''umefurahi?umeridhika?sasa naweza nikakuoa?........Msichana akashtuka sana kumwona boyfriend wake ni kipofu na akakataa kuolewa.
Boyfriend akaondoka huku akilia machozi....akamwambia girlfriend '''nakutakia maisha mema,naomba uyatuze macho yangu''
Je kuna umuhimu wa kumpenda mpenzi wako kwa dhati na kujitolea kwa ajili yake?
Siku moja akapewa macho na mtu asiyemfahamu,akafanikiwa kuona kila kitu,akafanikiwa kumwona boyfriend wake.
Boyfriend wake akamwuliza ''umefurahi?umeridhika?sasa naweza nikakuoa?........Msichana akashtuka sana kumwona boyfriend wake ni kipofu na akakataa kuolewa.
Boyfriend akaondoka huku akilia machozi....akamwambia girlfriend '''nakutakia maisha mema,naomba uyatuze macho yangu''
Je kuna umuhimu wa kumpenda mpenzi wako kwa dhati na kujitolea kwa ajili yake?