Ni mapambano dhidi ya akina Nape, JK and the like. Kwa kifupi, it is all about to contain impurities and irregularities that appear to block his way towards Magogoni 2015. Let's us join our hands and pray for him. He is enegertic and capable to transform Tanzania into a paradise within 5 years!
Ni mapambano dhidi ya akina Nape, JK and the like. Kwa kifupi, it is all about to contain impurities and irregularities that appear to block his way towards Magogoni 2015. Let's us join our hands and pray for him. He is enegertic and capable to transform Tanzania into a paradise within 5 years!
Vyombo vya habari leo vimemnukuu Waziri Mkuu mstaafu Bwana Edward Lowassa (Mb) kuwa Amerejea nchini na "yupo fit kwa mapambano".
SWALI: JE NI MAPAMBANO GANI ANAYOZUNGUMZIA LOWASSA?!
Jibu hoja wewe acha kutokotaAcheni chuki binafsi
Wa zambiApambane na nani mgonjwa kama huyo? Anatembea kama amebeba mzigo..
Wivu wa kike huu.Kwa kutaka kujionyesha kuwa yupo fit(sidhani)anatembea kama robot,halafu hawa TBC bana hata kurejea kwa Lowasa kunapewa kipaumbele cha kwanza kwenye taarifa,mbona wakati wa kuondoka aliondoka kimya kimya,halafu yeye sio Waziri mkuu mstaafu,huko TBC sijui kuna nini,ishu za EL zinakuwa kama za mtu aliye juu ya raisi
Madhara ya kutumia makamasi ktk kufikiri.Huyo fisadi hanalolote la maana wanaomfagilia ni wachovu wa kufikiri. haiingii akilini kumfagilia mtu anayewahujumu watanzania wenzake kwa manufaa binafsi.