Mke kuwa na mjamzito haina maana haruhusiwi kufanya mapenzi na mumewe, lakini wakati huo huo kuwa ujauzito mwingine huwa na complications ambazo daktari huziona zinaweza kuathiri ujauzito na hata maisha ya mama na mwana na hivyo kutoa ushauri mama asifanye mapenzi mpaka baada ya kujifungua. Pia kuna wanawake wengine ambao hutumia ujauzito kama sababu ya kukataa kufanya mapenzi pamoja na kuwa hakuna complications zozote zile. Hebu liweke vizuri swali lako. Je, kutoka nje kunasababishwa na complications za mjamzito au hataki tu kufanya mapenzi kwa sababu ni mjamzito?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.