Je yawezekana kujifunza na kuweza kuongea Lugha ya kiingereza kwa muda wa wiki tatu hapa bongo na kama yawezekana tufahamishane ni mahali gani hapo waheshimiwa? na ni kiasi gani?hii ni kwa mtu ambaye totally hajui abc
Anatumia lugha gani kwa sasa? kama ni kifaransa ama kijerumani (though am also shallow)...ninaweza kumfundisha mimi...bei kwakweli tutakubaliana! na masomo ni monday to friday 6pm to 7pm au weekends..tunaweza kuongea zaidi!
kama ni kiswahii.......well, naye pia though sina experience tunaweza jaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.