Je ni kweli?

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Jana hapa mtaani kwetu tulipokuwa tunabadilishana mawazo ikaibuka mada kuwa akina dada wasomi kuanzia kiwango cha digrii na kuendelea eti wengi wao huwa hawaolewi na hata wakiolewa huwa umri wao huwa umeenda sana.Naomba wana jf wenzangu mtoe maoni yenu kuhusiana na hili suala.
 
Mmmhh
Kuolewa kunatofautiana
kila mtu anaolewa kwa muda wake
Na sababu zake.. wengine wanananguliza
ndoa halafu masomo wengine masomo halafu ndoa.. yote maisha na sioni tatizo liko wapi..
 
baaas hilo ndio jibu la swali hakuna kujadili hahahha masomo kwanza ndoa itafata ndoa kwanza masomo yatafata...
Mmmhh
Kuolewa kunatofautiana
kila mtu anaolewa kwa muda wake
Na sababu zake.. wengine wanananguliza
ndoa halafu masomo wengine masomo halafu ndoa.. yote maisha na sioni tatizo liko wapi..
 
tatizo ni kwamba wadada waliosoma sana wanajiona na wanadhani hamna mwanamume anayewafaa...kiburi cha elimu kinawasumbua.
pili, wanaume baadhi wana inf complex ya kuwatokea wanawake wenye elimu kubwa kwa kudhan hawana hadhi na kuhis watatawaliwa na mwanamke msomi.
 
wanawake wasomi huwa wanajitoa kwenye jamii kutokana na majukumu ya kazi,
utakuta mwanamke anaondoka home alfajir na kurudi night kwa hiyo unakuta
hana muda wa kukutana na watu na kma hana mpnz inmchukua muda sana kumpata kwa
kuwa hajichanganyi na watu.
pia hawana muda wa kutoka mara kwa mara hasa wafanyakazi wa bank wanaenda job mpaka jmosi sometime mpaka
j2.
 
mzima habibty mimi miss wewe sana sana nipooo sijapotea habibty nilitaka unifanyie mpango na mie nikaonane na babu wa loliondo hivi bado yupooo??
Hahahahahahahah lolliondo tena
Dahhhhhh niko free nchana wa leo
naweza kukusindikiza hospital mwaya
lolliondo mbali na nauli imepanda sana
Nimefurahi sana kukuona
tena my dear..
 
hahah me too nimefurahi sawa basi naja kukupitia nikapate dawa ya kuolewa mapema nimridhishe mtoa post hahah si pia ipo dawa hiyo?? jitaarishe nimepata gari ya kitalii lazma tufike mwaka huu hahah mbona watatukomaaaaaaaa
Hahahahahahahah lolliondo tena
Dahhhhhh niko free nchana wa leo
naweza kukusindikiza hospital mwaya
lolliondo mbali na nauli imepanda sana
Nimefurahi sana kukuona
tena my dear..
 
hahah me too nimefurahi sawa basi naja kukupitia nikapate dawa ya kuolewa mapema nimridhishe mtoa post hahah si pia ipo dawa hiyo?? jitaarishe nimepata gari ya kitalii lazma tufike mwaka huu hahah mbona watatukomaaaaaaaa
Hahahahahahahah lol
gari la aina gani hilo mpenzi..
BM,BENZI, JAGUAR mmmhhhh
Au ndi yale toyota na nissan
hahahshhah lol.. haya bi mzuri mie
A hizi PHD dahhhh watakoma trip hii
Hahahshhah lol
 
tatizo ni kwamba wadada waliosoma sana wanajiona na wanadhani hamna mwanamume anayewafaa...kiburi cha elimu kinawasumbua.
pili, wanaume baadhi wana inf complex ya kuwatokea wanawake wenye elimu kubwa kwa kudhan hawana hadhi na kuhis watatawaliwa na mwanamke msomi.

Sidhani,maana kuwa wengine wapo masters hata we ukiwa undergraduate wanakuelewa.Halafu mi wengi nawaona wapo open tu hwako complicated unapoongea nao,sio kama ambao hawakusoma sana,ambao hawakusoma ndo wanaringa sana.
 
Nimepata jaguar...toyota na nissan si naskia hapana kufika kwa loliondo hahhahahah lool
hahahahahahahah lol
gari la aina gani hilo mpenzi..
Bm,benzi, jaguar mmmhhhh
au ndi yale toyota na nissan
hahahshhah lol.. Haya bi mzuri mie
a hizi phd dahhhh watakoma trip hii
hahahshhah lol
 
Ndio,wengi hawaolewi maana wanakua wamechezewa sana chuoni na hawatamaniki!!!
mmh,madongo yatayo fata hapa sijui tu
 
Ndio,wengi hawaolewi maana wanakua wamechezewa sana chuoni na hawatamaniki!!!
mmh,madongo yatayo fata hapa sijui tu
Sa hapo nilipobold kudhalilishana mkuu, sio wote bana wengine twajiheshimu na tunakuwa na malengo yetu.Na kuolewa ni majaliwa ndg
 
Elimu ufunguo wa jeneza,hii aliisema bonta kwenye moja kati ya nyimbo zake,sijui alikuwa anamaanisha nini!
 
Wengi wao huwa wanaoanaga na wapenzi wao wa vyuoni. Sasa ikitokea hakuwa na mpenzi chuoni, au walipigana chini, akija huku mtaani ndo inakuwa inshu kupata tena mpenzi. Kuna wadada nawajua wana masters zao ila full frustrations za kupata wachumba
 
Matatizo hapa yako mengi kidogo. Ila ni kweli kiasi.
1. Wasomi wengi hawana muda wa ku sosholaiz. Mda wote wako bize na kazi, research, sijui presentations, projects n.k.
2. Wengi wanaishi kwene nyumba 'fenced', wana drive. Hamna muda wa kukutana na vijana waoaji.
3. Maofisini wengi wa vijana wakiume wameoa. Dada zetu wasomi wanaishia kutembea na waume za watu au vijana wadogo. No ndoa
4. Wakishaona umri unawatupa mkono wanakua frustrated na kujikuta wanafanya wrong decisions mf kumkubali kila kijana. Wanazidi kuharibu.
5. N.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom