TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Natanguliza samahani kama ntakuwa nimewakwaza baadhi ya wasomaji, lengo langu ni kuelimishwa.
Kuna mama mmoja ameolewa na kukuta nyumbani hapo kwa mumewe kuna mtoto alizaliwa na mama yake kuachika. Kinachonishangaza ni mama huyu kila anapomwita binti huyu hutumia neno we mwanaharamu, laanakum, bimatrashamsi, nk. nk. ilimradi tu atumie majina yasiyofurahisha badala ya kutumia jina halisi la binti huyo. Na inapotokea amekosea huambiwa ni kwa kuwa hakupigiwa bismillah (wakati wa utungo wa mimba yake), au hakuadhiniwa kipindi anazaliwa.
Swali: Je ni kweli haya hufanyika wakati wa vitendo hivyo? (kupiga bismillah au kuadhini).
Kuna mama mmoja ameolewa na kukuta nyumbani hapo kwa mumewe kuna mtoto alizaliwa na mama yake kuachika. Kinachonishangaza ni mama huyu kila anapomwita binti huyu hutumia neno we mwanaharamu, laanakum, bimatrashamsi, nk. nk. ilimradi tu atumie majina yasiyofurahisha badala ya kutumia jina halisi la binti huyo. Na inapotokea amekosea huambiwa ni kwa kuwa hakupigiwa bismillah (wakati wa utungo wa mimba yake), au hakuadhiniwa kipindi anazaliwa.
Swali: Je ni kweli haya hufanyika wakati wa vitendo hivyo? (kupiga bismillah au kuadhini).