The Future.
Member
- Jan 7, 2011
- 71
- 0
Habari zenu great thinkers, nimesoma makala ya dee lee mmarekani inayoitwa BLACKS DONT READ,humo kasema kua utafiti unaonyesha watu weusi hapendi kusoma vitabu na ukitaka kuficha siri za mafanikio kwa weusi we ziweke kwenye vitabu kwa sababu hawasomi, pia tuna asili ya ubinafsi,uchoyo na ujinga hivyo basi wazungu wanatumia kama silaha kumiliki mali zetu na kutu tawala bila nguvu nyingi kama walivyotumia kuingiza ukoloni, watawatumia viongozi wetu kutuibia na kwavile sisi ni wajinga na wao ni wabinafsi na wachoyo mambo yataenda vizuri tu, je kuna ukweli ktk kauli hiyo?na kama kweli tufanyeje ili tujikomboe? Nawasilisha.