Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

Umofia kwenu wanabodi,

Kukumbushana sio mbaya jamani,kwa wale wapenda chovya chovya muwe makini na watoto wa mama salma huko mavyuoni,wapo karibu vyuo vyote pale CoeT walijiunga kama FUSP and the like! Hili janga ni kubwa tukiendelea kufichaficha ndio tatizo linazidi kuwa kubwa,huu ugonjwa unapoteza/unarudisha nyuma ndoto za vijana!! Vunja ukimya it begins with you.

Mkuu umesaau kumalizia, tangazo hili limeletwa kwenu na TACAIDS wakishirikiana na watu waishio marekani.
 
Mkuu umesaau kumalizia, tangazo hili limeletwa kwenu na TACAIDS wakishirikiana na watu waishio marekani.

Hapo ndio sirikali kupitia Tacaids wanavyoboa yani kuelimisha jamii mpaka tusubiri huruma ya wabeba box kina Nyani Ngabu?
 
Last edited by a moderator:
Wana haki ya kupata elimu. Swala msingi watu watulie tu, kwasababu hata huku mtaani wapo wengi waathilika kuliko huko ma vyuoni
 
watu8,ni watoto walioathirika tangu wamezaliwa, wamepewa msaada na mama salma kusomeshwa vyuo,kama cbe dodoma wamepelekwa 80 na mkuu wa chuo aliwaambia kabisaaaa wanafunzi wawe makini

Hata nami sikuelewa kabisa.
 
watu8,ni watoto walioathirika tangu wamezaliwa, wamepewa msaada na mama salma kusomeshwa vyuo,kama cbe dodoma wamepelekwa 80 na mkuu wa chuo aliwaambia kabisaaaa wanafunzi wawe makini

mmh...all in all tuache kusuguana hovyo
 
Umofia kwenu wanabodi,

Kukumbushana sio mbaya jamani,kwa wale wapenda chovya chovya muwe makini na watoto wa mama salma huko mavyuoni,wapo karibu vyuo vyote pale CoeT walijiunga kama FUSP and the like! Hili janga ni kubwa tukiendelea kufichaficha ndio tatizo linazidi kuwa kubwa,huu ugonjwa unapoteza/unarudisha nyuma ndoto za vijana!! Vunja ukimya it begins with you.

tena maprofesa wa cku hizi wanapenda uchi ndo mana watoto wa mama salma hawadiscore
 
Back
Top Bottom