hii ni kweli kabisaaaaaaaaa.mimi niliambiwa na Ndugu yangu wa karibu aliye maliza TUmaini University miaka miwili iliyo pita, na kipindi hicho walikuwa wamewapa jina la mfuko wa mama Mkapa. ila hii sio Tatizo maana na wao wanahaki ya kupata elimu.cha muhimu ni sisi kuwa waaminifu.katika maisha ya mahusiano na kujiheshimu vinginevyo we are finished.