Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

Jamani hapa ni mahali pa interlectuals. Hii habari kuwa mama Kikwete kasambaza watu wenye virusi vya UKIMWI ni uzushi usiokuwa na kichwa wala miguu.
Hao watu wenye virusi wanapelekwa vyuoni bila kufaulu? Ndo upendeleo maalum au? Na wanapimwa saa ngapi ili wapelekwe vyuoni na mama Salma?
UKIMWI upo kila mahali ni jukumu la kila mmoja kujilinda. Kama wewe unaona wanafunzi hawana UKIMWI kwa kuangalia halafu unaparamia bila Kondomu utaenda na maji.

mkuu shukran sana, umedadavua kwa hikma kubwa, mimi nilikuwa na mawazo kama yako ila kila nilivyokuwa natazama mabandiko ya watu humu, ningechangia tu ningekule BAN takatifu. Sometimes grat thinkers think softly!
 
Wakuu huu unyanyapaa sikutegemea kabisa kuukuta katika jukwaa hili. Kila mmoja wetu naamini kabisa hili janga lishamkuta kama si katika familia yake, basi nduguye au rafiki au hata jirani! Kwanini tunawatenga hawa waathirika? Wengi wetu hatujapima na hatujui nasi tumo au hatumo? Cha muhimu ni kujihadhali tu, maana vyuoni si uwanja wa ngono.
 
Taarifa ni ya kweli kabisa, ila ilivyowekwa hapa imewekwa kama umbea na umewekwa kushusha hadhai au lengo la watoa hii misaada

Guys wake up! watu wenye VVU can survive more than 30 yrs some 4oyrs! kama watu hawa hawatapewa elimu au uwezo then our nation is dying!

ndio wapo, ila ni qualified kwa kuingia university,

sio uzushi, ila mweka hii story kaweka kama vile ni uzushi fulani hivi, SIO SIRI LIPO NA NI KAWAIDA KABISA ,sioni tatizo!

duh! na nyie wenye kunyanyapaa watu wenye VVU msamehewe! mna akili kama JK! JK na mkewe walitofautiana sana kuhusu hili, ila juhudi ya mama imefikia hapo!!! need more??
 
Eti wameoza!! Imeniudhi hio statement vibaya sana! Umechafua forum! Anyways nikiwa kama mdau wa sekta ya afya,ni kweli wanafunzi hao wapo lakini the figures are grossly exagerated (sp) nevertheless sioni mantik ya kuwa discuss swala nikua na mentallity kama alivyosema kiranga.
 
Taarifa ni ya kweli kabisa, ila ilivyowekwa hapa imewekwa kama umbea na umewekwa kushusha hadhai au lengo la watoa hii misaada

Guys wake up! watu wenye VVU can survive more than 30 yrs some 4oyrs! kama watu hawa hawatapewa elimu au uwezo then our nation is dying!

ndio wapo, ila ni qualified kwa kuingia university,

sio uzushi, ila mweka hii story kaweka kama vile ni uzushi fulani hivi, SIO SIRI LIPO NA NI KAWAIDA KABISA ,sioni tatizo!

duh! na nyie wenye kunyanyapaa watu wenye VVU msamehewe! mna akili kama JK! JK na mkewe walitofautiana sana kuhusu hili, ila juhudi ya mama imefikia hapo!!! need more??

Sasa kaka wakiishi hiyo miaka 30-40 na huku wanagawa kama pipi, huko mbeleni taifa zima si litaangamia?
 
Hapana hapana sitaamini, kwanini walipokuwa form 6 hawakuwa na VVU Mama Salma aanze kuwatafuta mitaani 1000 waende UDOM? jamani hawa mabint walipoanza kuuingia mji huu walianza kuvaa vinguo vya ajabu hasa jeans tight watu wakadhaniwalikotoka ndio walivyokuwa wakivaa ikabidi mji mzima St John, CBE, Chuo cha Mipango nao mabint baadhi wakaanza kuvaa, na hii ni kujiepusha na wanaowatongoza kuwaogopa kuongozana nao, au kuogopa kubakwa mpaka uchane nguo.
Mada ni kwamba hawana ukimwi na wamepewa ufadhili wa kawaida wa mikopo. Pale UDOM Utawalamkwa Mama Mwaipyana huwezi kupokelewa kwa huruma yoyote eti una VVU au ulifeli kidato cha 4 au umetumwa na Mama Kikwete
 
Sasa kaka wakiishi hiyo miaka 30-40 na huku wanagawa kama pipi, huko mbeleni taifa zima si litaangamia?

mkuu statement yako ni very confusing labda umeandika kwa haraka

1. umewaona kuwa wanagawa kama pipi?
2. je wana alama yeyote mpaka kuwa confirmed wanafanya hivyo?
3. nani kakuambia kuwa mnweye VVU haruhusiwi kufanya mapenzi?
4. hao wanaogawiwa nani kawaambia kuwa wapokee tu, ni wajinga? hawatumii ABC techniques, na sasa ni lazima mpime kwanza ili kujamiiana
5.
kumbuka wengine ni wanafamilia ni wake za watu

same treatment are being used kwa wenye ukoma, mabusha,kifua kikuu, kwa hiyo woote hawa watupwe tu

alichofanya mama Salma ni kitendi cha kishujaa (japo simpendi) hizi huku nyingine ni tabia na hulka za watu.

Dullah, ebu pitia elimu huu ugonjwa na chukua statistics za taifa,threat is big! asante umeconfirm katabia ketu ka-kupenda kule, nadhani unasema tatizo ni wanawake na wanaume sio tatizo maana wanagawiwa! LOL!
 
Bora wajae vyuoni,hii itaweka level ground ktk exams,degree za chupi zitapungua and ma lecturer watakuwa na adabu kidogo,ila pole sana kwa ma lecturer ambao hawana VVU watakuwa na mgumu kujilinda kwani vitoto vya siku hizi vina full confidence and techniki za kumnasa mwalimu anaingia ktk line bila kupenda.
Mtazamo wangu mtu mwenye VVU ana stahili kuheshimiwa na kupata huduma zote kama mtanzania asiye na vvu.
 
Hapana hapana sitaamini, kwanini walipokuwa form 6 hawakuwa na VVU Mama Salma aanze kuwatafuta mitaani 1000 waende UDOM? jamani hawa mabint walipoanza kuuingia mji huu walianza kuvaa vinguo vya ajabu hasa jeans tight watu wakadhaniwalikotoka ndio walivyokuwa wakivaa ikabidi mji mzima St John, CBE, Chuo cha Mipango nao mabint baadhi wakaanza kuvaa, na hii ni kujiepusha na wanaowatongoza kuwaogopa kuongozana nao, au kuogopa kubakwa mpaka uchane nguo.
Mada ni kwamba hawana ukimwi na wamepewa ufadhili wa kawaida wa mikopo. Pale UDOM Utawalamkwa Mama Mwaipyana huwezi kupokelewa kwa huruma yoyote eti una VVU au ulifeli kidato cha 4 au umetumwa na Mama Kikwete

nguo za ajabu karne hii!! hivi Dodoma mko mwaka gani? huku KWETU kuanzia vitoto vya shule ya msingi vinavaa vinguo vya ajabu...mnashtuka hao wakubwa????!!!!!
 
mkuu statement yako ni very confusing labda umeandika kwa haraka

1. umewaona kuwa wanagawa kama pipi?
2. je wana alama yeyote mpaka kuwa confirmed wanafanya hivyo?
3. nani kakuambia kuwa mnweye VVU haruhusiwi kufanya mapenzi?
4. hao wanaogawiwa nani kawaambia kuwa wapokee tu, ni wajinga? hawatumii ABC techniques, na sasa ni lazima mpime kwanza ili kujamiiana
5.
kumbuka wengine ni wanafamilia ni wake za watu

same treatment are being used kwa wenye ukoma, mabusha,kifua kikuu, kwa hiyo woote hawa watupwe tu

alichofanya mama Salma ni kitendi cha kishujaa (japo simpendi) hizi huku nyingine ni tabia na hulka za watu.

Dullah, ebu pitia elimu huu ugonjwa na chukua statistics za taifa,threat is big! asante umeconfirm katabia ketu ka-kupenda kule, nadhani unasema tatizo ni wanawake na wanaume sio tatizo maana wanagawiwa! LOL!

Kaka unajua nlikua najaribu kuangalia hizi effects zina maana gani huko mbeleni..naona kama umuhimu wa kukataza maambukizi mapya unawekwa pembeni na badala yake nguvu kubwa unaelekezwa kwene ARV, kupima,kupinga unyanyapaa na mambo kama hayo.

Kutumia ARV na kuishi miaka 10-30 sio ishu, ishu ni kwamba taifa linazidi kuwa na waathirika kama hakuna mbinu za kuzuia maambukizi mapya. Waathirika wakiongezeka mwishoe tutakosa wazazi wenye afya au watu wenye uwezo wa kuzaa, na ndio taifa litakapopukutika na kufikia ukingoni.
 
Acheni uzushi. Mlitaka wenye VVU wasisome? Punguzeni tabia ya kimalaya! Hao wadada hawajawabaka hata kama wapo!!
 
Wana jf kuna siku nilikuwa napata serengeti baridi nikiwa iringa na wanafunzi fulani wa vyuo vikuu vya iringa(wanaume) wakawa wanapeana vitisho kwamba mama salma kikwete kawamwaga wasichana karibu 500 wanaoishi na vvu katika vyuo vyote vya iringa yaani 1@500. Je kuna kaukweli kokote au ni propaganda

nawasilisha

Kichwa cha habari kinachochea chuki kwa familia ya rais, hebu acheni hizo
 
Wengi wapo chuo cha mipango Tabora,pia ifm,UDOM n.k hawa wanafadhiliwa na mama salma,pia ifm pale mwaka 2008/2009 waliletwa watu 400 waathirika,mwaka unaofuata aliongeza idadi japo sikufuatilia wangapi. Jiadhari wanachuo!
 
Hilo ni kweli coz wanachuo wenzangu wamekuwa wakilizungumzia(UDSM).Sasa napata uhakika zaidi kuona comment za walio wengi zinakubaliana na swala hili.Wanaitwa wanafunzi wa mama kiwete(CONFIDENTIALITY)
 
Wakuu huu unyanyapaa sikutegemea kabisa kuukuta katika jukwaa hili. Kila mmoja wetu naamini kabisa hili janga lishamkuta kama si katika familia yake, basi nduguye au rafiki au hata jirani! Kwanini tunawatenga hawa waathirika? Wengi wetu hatujapima na hatujui nasi tumo au hatumo? Cha muhimu ni kujihadhali tu, maana vyuoni si uwanja wa ngono.

kama reality ndo unaitwa unyanyapaa basi na uwe. Ukimwi unasambaza ila hamna wa kulaumiwa,nieleweke wazi,hata wanachuo wenyewe wenye VVU Wanakili ukweli huu,wala si kunyanyapaa..ila kama ukweli ni unyanyapaa basi na iwe ili mradi caution imetolewa!
 
Wapendwa imekuaje tena mbona kama vile huu uzi hauna mashiko? tunakua kama JK kua ni kiherehere chao, No HEBU tuwaangalie kwa upande wa pili
 
Hilo ni KWELI KABISA HATA PALE MTWARA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA alipeleka wanafunzi 70 wenye vvu lengo lake eti wajitambulishe kwa wengine na watoe ELIMU mabinti walipopata chuo wakauchuna na kuanza kutoa uroda kama hawana akili timamu, mtwara imekwisha watu wanajibebea tu:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Bora wajae vyuoni,hii itaweka level ground ktk exams,degree za chupi zitapungua and ma lecturer watakuwa na adabu kidogo,ila pole sana kwa ma lecturer ambao hawana VVU watakuwa na mgumu kujilinda kwani vitoto vya siku hizi vina full confidence and techniki za kumnasa mwalimu anaingia ktk line bila kupenda.
Mtazamo wangu mtu mwenye VVU ana stahili kuheshimiwa na kupata huduma zote kama mtanzania asiye na vvu.

Hii dhana ya watu kupewa degree kwa sababu katoa ngono miye hata siiafiki, maana mwanafunzi toka aanze chuo mpaka anamaliza anafundishwa na waalimu wengi jamani! Ataweza vipi kuwaridhisha wote kwa mara moja? mfano semester moja ana course tano, ni kweli atakuwa na mabwana 5 mara 2 mara miaka anayosoma mfano 3, so ili apate degree kwa kugawa atakuwa na mabwana 30+ kwa hesabu ya haraka haraka.

Tuelewane vizuri, sipingi kama hakuna walimu wenye tabia ya kutembea na wanafunzi najua wapo baadhi ila hawezi mtu pata degree kwa kutembea na waalimu wote hii haiwezekani! Labda course moja
 
kwa nini wasitwambie kuwa kuna watu anasomesha wenye virusi vya ukimwi na kuwa amewasambaza vyuo vyote hivyo?

huyu ni muuaji...........ngoja niwasiliane na Okampo anijuze kama haki za binadamu wengine hazivunjwi..
 
Back
Top Bottom