Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

Nenda sekretariet ya ajira. Waombe wakupe takwimu za watu waliowaajiri kwenye sector mbalimbali za serikali ndio utajua kuwa graduates from udsm are losing now in the labour market.
Sitaki kubishana bt jitahidi tu upate hiyo document maana tumechoka na maneno ya kufikirika
Hayo sio maneno ya kufikirika, naongea from experience na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa matangazo wa kazi, mangapi yanatoka na kusema tunataka candidate mwenye elimu kutoka UDSM, halafu wanamalizia na vyuo vingine! Hilo wala haliitaji mjadala matangazo yapo na yanaspecify kabisa candidate from UDSM. Hilo la sekretariet ya ajira, sina ubishi nalo, nina mtu anafanya kazi pale senior position, na ndie aliyeniambia hivyo, na cku hiyo tunaoingea hizo ishu tulikuwa pia na jamaa wa SAUT, na alisikia maneno yote! Mimi ni Lecturer katika chuo flani cha umma hapa Dar, mwaka huu mwanzoni waliajiri tutorial wapya, kati ya hao mmoja alikuwa anatoka SAUT, mwingine MUCCOBS, na wengine nje ya nchi, yule wa SAUT kashindwa kudelivry japo ana GPA kubwa na interview alifanya vizuri, anarudishwa kwenye administration! Hiyo ni mifano midogo , but ipo mingi sana...Huwezi ukafananisha chuo chochote hapa EAST AFRICA na UDSM,
 
Hayo sio maneno ya kufikirika, naongea from experience na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa matangazo wa kazi, mangapi yanatoka na kusema tunataka candidate mwenye elimu kutoka UDSM, halafu wanamalizia na vyuo vingine! Hilo wala haliitaji mjadala matangazo yapo na yanaspecify kabisa candidate from UDSM. Hilo la sekretariet ya ajira, sina ubishi nalo, nina mtu anafanya kazi pale senior position, na ndie aliyeniambia hivyo, na cku hiyo tunaoingea hizo ishu tulikuwa pia na jamaa wa SAUT, na alisikia maneno yote! Mimi ni Lecturer katika chuo flani cha umma hapa Dar, mwaka huu mwanzoni waliajiri tutorial wapya, kati ya hao mmoja alikuwa anatoka SAUT, mwingine MUCCOBS, na wengine nje ya nchi, yule wa SAUT kashindwa kudelivry japo ana GPA kubwa na interview alifanya vizuri, anarudishwa kwenye administration! Hiyo ni mifano midogo , but ipo mingi sana...Huwezi ukafananisha chuo chochote hapa EAST AFRICA na UDSM,

Mbona unatumia sample ndogo sana kufanya conclusion kijana. Nani amekwambia coz huyo moja wa saut alishindwa kuderiva ndio ndio uhitimishe kuwa saut ni wabovu?
For ur information mm pia ni lecturer hapa dar at a certain public institute. Tuliajiriwa dec last year (unaweza kurejea tangazo la kuitwa kwenye usahili la November mwaka jana).kwenye huo usahili tulikuwa wanafunzi frm saut,mzumbe,kampala international,udsm,TIA na tumaini. Kwenye usahili tuliopata kazi (assistant lecturer) tulitoka saut wawili, kampala moja,TIA mmoja,tumaini mmoja,mzumbe watatu. No candidate frm udsm was chosen. Bt siwezi kuhitimisha kuwa udsm ni wabovu eti kisa walikosa kuchaguliwa kwenye hiyo interview.
Pia unapozungumzia eti kuwa matangazo ya kazi huwa wanasema mtu awe amesoma udsm au vyuo vingine. Nadhan hapa umekosa uelewa tu kijana. Kumbuka pia kuna matangazo huwa yanasema wanahitaji mtu aliyesoma TIA sio kuwa TIA is the best bt simply bse TIA ndio chuo pekee ambacho kilikuwa kinatoa course ya government accounting. Hivyo hata wakisema wanahitaji mtu wa udsm mala nyingi huwa ni kwasababu ya post husika.kuna course ambazo zinatolewa udsm tu au udsm ndio wanauzoefu na hiyo course.
Kwa kumalizia naomba ujue kuwa kama kuna watu wanatakiwa kujivuna basi inabidi wawe wanafunzi waliosoma mzumbe coz hata kwenye interview nyingi majority of candidates huwa wanatoka mzumbe.
Udsm nakubali kuwa ni chuo bora east africa bt ubora wake haupo sana katika kuimpart knowledge kwa wanafunzi wake bali ubora wa udsm ni kuwa na madaktari na maprof wengi.
 
Hayo sio maneno ya kufikirika, naongea from experience na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa matangazo wa kazi, mangapi yanatoka na kusema tunataka candidate mwenye elimu kutoka UDSM, halafu wanamalizia na vyuo vingine! Hilo wala haliitaji mjadala matangazo yapo na yanaspecify kabisa candidate from UDSM. Hilo la sekretariet ya ajira, sina ubishi nalo, nina mtu anafanya kazi pale senior position, na ndie aliyeniambia hivyo, na cku hiyo tunaoingea hizo ishu tulikuwa pia na jamaa wa SAUT, na alisikia maneno yote! Mimi ni Lecturer katika chuo flani cha umma hapa Dar, mwaka huu mwanzoni waliajiri tutorial wapya, kati ya hao mmoja alikuwa anatoka SAUT, mwingine MUCCOBS, na wengine nje ya nchi, yule wa SAUT kashindwa kudelivry japo ana GPA kubwa na interview alifanya vizuri, anarudishwa kwenye administration! Hiyo ni mifano midogo , but ipo mingi sana...Huwezi ukafananisha chuo chochote hapa EAST AFRICA na UDSM,

Endelea kuwa na mawazo ya kizamani na endelea kukataliwa na hizo fikra.
Ulitegemea Lecturer wa UDSM akibeze UDSM?
 
Hayo sio maneno ya kufikirika, naongea from experience na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa matangazo wa kazi, mangapi yanatoka na kusema tunataka candidate mwenye elimu kutoka UDSM, halafu wanamalizia na vyuo vingine! Hilo wala haliitaji mjadala matangazo yapo na yanaspecify kabisa candidate from UDSM. Hilo la sekretariet ya ajira, sina ubishi nalo, nina mtu anafanya kazi pale senior position, na ndie aliyeniambia hivyo, na cku hiyo tunaoingea hizo ishu tulikuwa pia na jamaa wa SAUT, na alisikia maneno yote! Mimi ni Lecturer katika chuo flani cha umma hapa Dar, mwaka huu mwanzoni waliajiri tutorial wapya, kati ya hao mmoja alikuwa anatoka SAUT, mwingine MUCCOBS, na wengine nje ya nchi, yule wa SAUT kashindwa kudelivry japo ana GPA kubwa na interview alifanya vizuri, anarudishwa kwenye administration! Hiyo ni mifano midogo , but ipo mingi sana...Huwezi ukafananisha chuo chochote hapa EAST AFRICA na UDSM,

Kaka unatudhalilisha wahadhiri kiukweli, kote nimesoma(Saut&udsm) ila ulivyotengeneza iyo claim naamini wewe ni undergraduate tu wala huna uwezo wa kujenga hoja ukaeleweka.
 
Seminary zina mchujo na kuna wastani maalum lazima ufikie ili ueze songa mbele sauti je??? Wasoma soma tu bila disco wanafunz hawapanui wigo wa mawazo wanapewa notes ka olevel...iyo ndo tofaut...
 
Seminary zina mchujo na kuna wastani maalum lazima ufikie ili ueze songa mbele sauti je??? Wasoma soma tu bila disco wanafunz hawapanui wigo wa mawazo wanapewa notes ka olevel...iyo ndo tofaut...
Ukisoma na disco ndo unapanua uelewa? Nlisoma Saut, kule sup inaanzia 50, vp udsm? Hapo ud nimefanya masters na sikuona kipya ila cha kukubali ni kwamba baadhi ya idara ni zinauzoefu mkubwa lkn sio kusema wanafunzi wa hapo ni bora sana kuliko kwingine mfno saut kwan suala la ubora wa mwanafunzi linachangiwa na mengi
 
Si kweli mkuu, pamoja nakuwa chuo kinaendeshwa kibabe ila katika suala la taaluma wapo strictly. Nilimaliza Udsm pale gamba langu la kwanza, nasasa nipo SAUT. Nikijaribu kufanya ulinganisho sioni utofauti, ukichunguza sana ratiba ya SAUT iko bize sana kuliko Udsm. Kupata GPA nzuri ni kazi sana.

Kazi Tuliyoachiwa Na Father Dkt Francis Ngatigwa Umeshaimaliza Mkuu AU Unabwabwaja tu Humu JF? Wiki Ijayo Anarudi na Tuangalie tu Yasije Yakatukuta Kama Ya Dkt Magoti........... SAUT Si Mchezo Iwe Ngazi Ya B.A au M.A na Balaa Lake Ni ktk Phd.
 
Alikuja jamaa na GPA yake 3.8 na alama zake CJUI A = NA NGAPI! Alitaka kujiunga na masterz pale udsm, wataalamu wakaiingiza kwenye viwango vya UDSM, GPA ikawa 2.2? Sitaniii, ni jamaa yangu kabisa na yeye alikuwa najisifu kuwa ana GPA nzuri ya SAUT nikamwambie cku ukienda UDSM utajua kama ni nzuri au lah! Mpaka leo kimyaaaaaa....

how? mlimani wanachuja. gpa za vyuo vingine?
 
Kazi Tuliyoachiwa Na Father Dkt Francis Ngatigwa Umeshaimaliza Mkuu AU Unabwabwaja tu Humu JF? Wiki Ijayo Anarudi na Tuangalie tu Yasije Yakatukuta Kama Ya Dkt Magoti........... SAUT Si Mchezo Iwe Ngazi Ya B.A au M.A na Balaa Lake Ni ktk Phd.

Kamueni uko waacheni hawa waliochanganyikiwa na gentleman za udsm wanaohisi wameonewa so wanaanza kujilinganisha na mazao ya SAut.
 
Seminary zina mchujo na kuna wastani maalum lazima ufikie ili ueze songa mbele sauti je??? Wasoma soma tu bila disco wanafunz hawapanui wigo wa mawazo wanapewa notes ka olevel...iyo ndo tofaut...

Kaulize Harvard University, Yale University, Massachusetts Institute of technology uone km kuna hayo mambo ya kudisco.
Km kudisco ndio ubora wa shile then inakuwaje mwanafunzi aliyekuja udsm na div one nzuri sana anadisco?
 
nawasilisha

Nadhani SAUT Wameniroga Kwani NAKIPENDA Hiki Chuo Utadhani Sijui Nini!!!!!!!!!!! Wote Humu Mtabwabwaja Ila Naweza Nikathibitisha Kuwa Products Za SAUT Ni Kiboko. Nilikuwa Nafundisha Chuo Kimoja Hapa Jijini Na Nakumbuka Wenzangu Wengi Walikuwa Wanatoka Hapo Kunako Mlimani City ila Vijana Walinikubali Sana Na Niliwaacha Mbali Mno Hao Wa Vyuo Vyenu Hivyo Vingine hadi Ikafikia Hatua Ya Wenzangu Kunichukia Na Kunionea Wivu Kwani Nilikuwa Napiga Mzigo Kwa Kuwapa Elimu Vijana Na Kibaya Zaidi Nilikuwa Nikipewa tu Somo Lolote Lile Naburuza Kuliko Hata Mwalimu Aliyekuwa Anafundisha Awali na Najivunia Sana Kuwa Mwana SAUT 2006 - 2009 ( B. A ) Na Sasa Tena Kuwa Mwana SAUT 2013 - 2015 ( M. A ) Na Mwenyezi Mungu Akipenda Najipanga Tena Kuwa Mwana SAUT 2021 - 2025 ( PHD ). Sina Cha Kuwalipa Walimu Wangu Wote Wa SAUT Zaidi Tu Ya Kusema Akhsante Kwao Na Mwenyezi Mungu Awazidishie Thawabu na Baraka Tele Na Nawapongeza Sana Vijana Wangu Mwenyewe Niliowapika ktk Ngazi Ya Basic Certificate, Advance Certificate na Advance Diploma ktk Hicho Chuo Cha Tasnia Ya Habari Na Baadhi Ya Majembe Yangu Niliyoyapika Mwenyewe Na Natembea Kifua Mbele Ni Kama Wafuatao:
1. Ibrahim Yamola............ Mwandishi Mwananchi Newspaper.
2. Zourha Malisa.............. Mwandishi Majira Newspaper.
3. Editha Mkwawa............. Mtangazaji Radio One.
4. Fatuma Abdallah Chikawe............... Mtangazaji Mahiri Wa Michezo Times FM.
5.Twalib Othman................... Mtangazaji Maarufu Na Mahiri Wa Azam Media Na Nakumbuka Hakuna Mtu Niliyekuwa Nikipambana Nae Kama Huyu Kijana Na Alikuwa Hataki Kabisa Hata Kuwa Mtangazaji ILA Nilipambana Nae Kwa Kumpa Ushauri Na Kumtia Moyo Na Hatimaye Akakaa ktk Mstari Na Sasa Anafanya Vizuri Huko Azam Tv.
6. Da Hu................... Mtangazaji Clouds FM
7. Emanuel Mkuwi................... Mtangazaji Radio Free Africa
8. Amina Ntomola....................... Mtangazaji Passion FM
Ila Siku Zote Nimekuwa Nikikiri na Hadi Kuwaambia Wanafunzi Hao Tajwa Hapo Juu na Wengineo Wengi Waliopo Mikoani na ktk Taasisi Za Serikali na Binafsi Kuwa Mimi Sikuwa Bora Bali Sifa Zote Ziende Kwa Walimu Wangu Wote Wa Mass Com SAUT Mwanza Akina
1. Mr. Dietrich Kaijanangoma
2. Mr. Peter Mataba
3. Mr. Robert Mkosamali
4. Jembe Langu Lenyewe Fr. Dkt Bernadin Mfumbusa
5. Mr. Nkwabi Ng'wanakilala
6. Mr. Barack Otieno
Na Wengineo Wengi Sana Chini Ya JEMEDARI Fr.Dkt. Charles Kitima. Jamani SAUT Ni Habari Nyingine Japo Naviheshimu Sana Vyuo Vyote Vikuu Nchini Tanzania.
 
Nakumbuka nilipiga one kote four na six na kuna ndugu zangu walinishauri niende SAUT me nakaenda Udsm. Dah shule niliyoikuta huko ni balaa. Ila kwa experience yangu graduates wa Udsm bado ndo wanaaminika kwa asilimia kubwa kuliko vyuo vingine coz darasa letu tuliomaliza mwaka jana hadi sasahvi karibia 90% wameajiriwa mashirika makubwa tu na darasani tulikua zaidi ya mia. Kampuni nyingi tu zinakuja kurecruit vijana kila mwaka hapo udsm. Graduates wa udsm wanaexcel sana katika mashirika kibao ya kimataifa na serikalini.
 
Nakumbuka nilipiga one kote four na six na kuna ndugu zangu walinishauri niende SAUT me nakaenda Udsm. Dah shule niliyoikuta huko ni balaa. Ila kwa experience yangu graduates wa Udsm bado ndo wanaaminika kwa asilimia kubwa kuliko vyuo vingine coz darasa letu tuliomaliza mwaka jana hadi sasahvi karibia 90% wameajiriwa mashirika makubwa tu na darasani tulikua zaidi ya mia. Kampuni nyingi tu zinakuja kurecruit vijana kila mwaka hapo udsm. Graduates wa udsm wanaexcel sana katika mashirika kibao ya kimataifa na serikalini.

Si kweli rafiki kuwa udsm products wanaaminika zaidi kwenye labor market. Nina vijana wengi sana walimaliza udsm muda sana na hadi leo hawana kazi.
Mm binafsi sikusoma udsm wala chuo cha serikalini lakini ukweni ni kuwa kwa sasa the demand for labour is highly influenced by the efficiency of labor na sio chuo.
Hapo miaka ya nyuma ni kweli chuo cha udsm walikuwa wana soko sana bt not today rafiki.leo hii wana soko watu wanaojua madesa na sio waliosoma UDSM.
Hata hivyo kwa sasa km tukitaka kuangalia ni wanafunzi wa chuo gani wanaaminika zaidi utakuta ni students from mzumbe na sio udsm.
 
Si kweli rafiki kuwa udsm products wanaaminika zaidi kwenye labor market. Nina vijana wengi sana walimaliza udsm muda sana na hadi leo hawana kazi.
Mm binafsi sikusoma udsm wala chuo cha serikalini lakini ukweni ni kuwa kwa sasa the demand for labour is highly influenced by the efficiency of labor na sio chuo.
Hapo miaka ya nyuma ni kweli chuo cha udsm walikuwa wana soko sana bt not today rafiki.leo hii wana soko watu wanaojua madesa na sio waliosoma UDSM.
Hata hivyo kwa sasa km tukitaka kuangalia ni wanafunzi wa chuo gani wanaaminika zaidi utakuta ni students from mzumbe na sio udsm.

Udsm products wamejaa kwenye reputable multinational companies kibao kama pwc,kpmg,deloite,ey,shlumberger,puma,haliburton, etc hao wote kila mwaka wanakuja kurecruit vjana hapo chuo. Ushahidi ni watu niliomaliza nao.
 
Nadhani SAUT Wameniroga Kwani NAKIPENDA Hiki Chuo Utadhani Sijui Nini!!!!!!!!!!! Wote Humu Mtabwabwaja Ila Naweza Nikathibitisha Kuwa Products Za SAUT Ni Kiboko. Nilikuwa Nafundisha Chuo Kimoja Hapa Jijini Na Nakumbuka Wenzangu Wengi Walikuwa Wanatoka Hapo Kunako Mlimani City ila Vijana Walinikubali Sana Na Niliwaacha Mbali Mno Hao Wa Vyuo Vyenu Hivyo Vingine hadi Ikafikia Hatua Ya Wenzangu Kunichukia Na Kunionea Wivu Kwani Nilikuwa Napiga Mzigo Kwa Kuwapa Elimu Vijana Na Kibaya Zaidi Nilikuwa Nikipewa tu Somo Lolote Lile Naburuza Kuliko Hata Mwalimu Aliyekuwa Anafundisha Awali na Najivunia Sana Kuwa Mwana SAUT 2006 - 2009 ( B. A ) Na Sasa Tena Kuwa Mwana SAUT 2013 - 2015 ( M. A ) Na Mwenyezi Mungu Akipenda Najipanga Tena Kuwa Mwana SAUT 2021 - 2025 ( PHD ). Sina Cha Kuwalipa Walimu Wangu Wote Wa SAUT Zaidi Tu Ya Kusema Akhsante Kwao Na Mwenyezi Mungu Awazidishie Thawabu na Baraka Tele Na Nawapongeza Sana Vijana Wangu Mwenyewe Niliowapika ktk Ngazi Ya Basic Certificate, Advance Certificate na Advance Diploma ktk Hicho Chuo Cha Tasnia Ya Habari Na Baadhi Ya Majembe Yangu Niliyoyapika Mwenyewe Na Natembea Kifua Mbele Ni Kama Wafuatao:
1. Ibrahim Yamola............ Mwandishi Mwananchi Newspaper.
2. Zourha Malisa.............. Mwandishi Majira Newspaper.
3. Editha Mkwawa............. Mtangazaji Radio One.
4. Fatuma Abdallah Chikawe............... Mtangazaji Mahiri Wa Michezo Times FM.
5.Twalib Othman................... Mtangazaji Maarufu Na Mahiri Wa Azam Media Na Nakumbuka Hakuna Mtu Niliyekuwa Nikipambana Nae Kama Huyu Kijana Na Alikuwa Hataki Kabisa Hata Kuwa Mtangazaji ILA Nilipambana Nae Kwa Kumpa Ushauri Na Kumtia Moyo Na Hatimaye Akakaa ktk Mstari Na Sasa Anafanya Vizuri Huko Azam Tv.
6. Da Hu................... Mtangazaji Clouds FM
7. Emanuel Mkuwi................... Mtangazaji Radio Free Africa
8. Amina Ntomola....................... Mtangazaji Passion FM
Ila Siku Zote Nimekuwa Nikikiri na Hadi Kuwaambia Wanafunzi Hao Tajwa Hapo Juu na Wengineo Wengi Waliopo Mikoani na ktk Taasisi Za Serikali na Binafsi Kuwa Mimi Sikuwa Bora Bali Sifa Zote Ziende Kwa Walimu Wangu Wote Wa Mass Com SAUT Mwanza Akina
1. Mr. Dietrich Kaijanangoma
2. Mr. Peter Mataba
3. Mr. Robert Mkosamali
4. Jembe Langu Lenyewe Fr. Dkt Bernadin Mfumbusa
5. Mr. Nkwabi Ng'wanakilala
6. Mr. Barack Otieno
Na Wengineo Wengi Sana Chini Ya JEMEDARI Fr.Dkt. Charles Kitima. Jamani SAUT Ni Habari Nyingine Japo Naviheshimu Sana Vyuo Vyote Vikuu Nchini Tanzania.

Dr. Jeremiar Araka
 
Kinacho wabeba wanafunz wa mzumbe ni kufanya field kwa mda mrefu takribani wiki 17 kwenye makampuni tofauti ivyo kuzoeleka na kujua uwezo wao af wakirud chuo ukaa miez mitano tu ya kumalizia semister ya mwaka wa tatu na kurud mtaani so inakua rais kwao kurud kwenye makampuni walio fanyia field......
 
Mbona unatumia sample ndogo sana kufanya conclusion kijana. Nani amekwambia coz huyo moja wa saut alishindwa kuderiva ndio ndio uhitimishe kuwa saut ni wabovu?
For ur information mm pia ni lecturer hapa dar at a certain public institute. Tuliajiriwa dec last year (unaweza kurejea tangazo la kuitwa kwenye usahili la November mwaka jana).kwenye huo usahili tulikuwa wanafunzi frm saut,mzumbe,kampala international,udsm,TIA na tumaini. Kwenye usahili tuliopata kazi (assistant lecturer) tulitoka saut wawili, kampala moja,TIA mmoja,tumaini mmoja,mzumbe watatu. No candidate frm udsm was chosen. Bt siwezi kuhitimisha kuwa udsm ni wabovu eti kisa walikosa kuchaguliwa kwenye hiyo interview.
Pia unapozungumzia eti kuwa matangazo ya kazi huwa wanasema mtu awe amesoma udsm au vyuo vingine. Nadhan hapa umekosa uelewa tu kijana. Kumbuka pia kuna matangazo huwa yanasema wanahitaji mtu aliyesoma TIA sio kuwa TIA is the best bt simply bse TIA ndio chuo pekee ambacho kilikuwa kinatoa course ya government accounting. Hivyo hata wakisema wanahitaji mtu wa udsm mala nyingi huwa ni kwasababu ya post husika.kuna course ambazo zinatolewa udsm tu au udsm ndio wanauzoefu na hiyo course.
Kwa kumalizia naomba ujue kuwa kama kuna watu wanatakiwa kujivuna basi inabidi wawe wanafunzi waliosoma mzumbe coz hata kwenye interview nyingi majority of candidates huwa wanatoka mzumbe.
Udsm nakubali kuwa ni chuo bora east africa bt ubora wake haupo sana katika kuimpart knowledge kwa wanafunzi wake bali ubora wa udsm ni kuwa na madaktari na maprof wengi.

ASANTE, mwelimishe huyo inaonekana haelewi ila ana mapenz na chuo chake tu
 
Jaman msitumie nguvu nan asyeelewa private kuna degree za biashara na seregeti boys fiesta(ubabaishaji) ,mtu kapata 17 anatoka na first class(principle moja). Mim wakat najaza koz za vyuo nlishangaa saut law, admission capacity watu 500 half cut-off point 2.5(tamaa inaua elimu yetu),wakat chuo kipya cha Udom ilikua200, 5cut off points, mzumbe 80,UDSM 120 n.k, Mim kama nijuavyo na nilivyopanga mtu yeyote alisoma chuo cha private hasa saut na visekondar vyake akija hapa ofsin nitasalimiana(kumsikiliza) naye mpaka nimalize vyuo kumi na tano vya uma.
 
Back
Top Bottom