Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wakuu,
Kuna jamaa hampendi Rostam kiasi cha kulinganisha hatari yake kwa nchi yetu na Osama Bin Laden. Jamaa amefikia kiwango cha kusema kwamba Rostam ni hatari zaidi kwani ugaidi wake unawaathiri wananchi wengi sana kwa wakati mmoja. Wakuu mnasemaje kuhusu mawazo haya, yana mantiki kweli? Kama ndivyo, na kama serikali haionyeshi dalili ya kumdhibiti Bw. Rostam kwa nini sisi wananchi tusichukue jukumu hilo?
Kuna jamaa hampendi Rostam kiasi cha kulinganisha hatari yake kwa nchi yetu na Osama Bin Laden. Jamaa amefikia kiwango cha kusema kwamba Rostam ni hatari zaidi kwani ugaidi wake unawaathiri wananchi wengi sana kwa wakati mmoja. Wakuu mnasemaje kuhusu mawazo haya, yana mantiki kweli? Kama ndivyo, na kama serikali haionyeshi dalili ya kumdhibiti Bw. Rostam kwa nini sisi wananchi tusichukue jukumu hilo?