ikhwan safaa
Senior Member
- Jul 24, 2011
- 106
- 29
Au anasingiziwa?
I find it hard kuamini kuwa awe amefika hapo alipofika kwa degree feki
I feel kama vile JF mko kwenye smear campaign dhidi ya mkulo
Haiwezekani waziri wa fedha awe na degree feki...impossible
msitake kumdhalilisha rais na utawala wake kwa maneno ambayo hamuna uhakika nayo
wengine mmethubutu kusema kuwa amepewa degree chuo kilichompa mbwa wa kufugwa degree
I find it hard kuamini kuwa awe amefika hapo alipofika kwa degree feki
I feel kama vile JF mko kwenye smear campaign dhidi ya mkulo
Haiwezekani waziri wa fedha awe na degree feki...impossible
msitake kumdhalilisha rais na utawala wake kwa maneno ambayo hamuna uhakika nayo
wengine mmethubutu kusema kuwa amepewa degree chuo kilichompa mbwa wa kufugwa degree