Je, ni kweli unaweza kufanya mapenzi na muathirika wa UKIMWI na usiambukizwe?

CELLULAIRE

Member
Mar 16, 2016
76
97
unaweza kufanya mapenzi na mwanamke aliye na virusi vya ukimwi huku akiwa anatumia dozi na usipate maambukizi yake kama utayafanya haya yafuatayo?
  • ukamwandaa huku yeye sehemu zake zikiwa tayari zimeshalowa au kulainika
  • kama ukimwingilia lakini katika uume wako hakuna michubuko yoyote ile
  • kama tu utashiriki nae mara moja tu ( kumpiga bao moja tu )
  • kama una damu ya kundi o ( group o )
nimeuliza yote hayo juu kwakuwa nina rafiki yangu wa karibu kabisa ameshatembea na wanawake wawili ambao ni waathirika kabisa wa vvu / ukimwi huku mmoja akiwa anajua na mwingine hakujua lakini kila alipoenda kupima ameonekana ni mzima na hana maambukizi yoyote lakini wale wanawake wawili wote wameshamthibitishia kuwa ni waathirika mmoja huu ni mwaka wa saba ( 7 ) na mwingine huu ni mwaka wake wa nne ( 4 ).

na cha kushangaza tena kuna mwanamke mwingine ambaye ameshamtongoza na ni mwathirika lakini kesho wamepanga kwenda kufanya mapenzi bila ya yeye kutumia kinga ya condom kwani huwa siyo mtumiaji wa condoms hata kama akiambiwa kuwa mwanamke fulani ni mwathirika. magonjwa ambayo huwa anayapata mara kwa mara ni haya tu ya zinaa hasa gono na mara chache sana kaswende ila vvu / ukimwi huwa hapati.

wenye utaalam wa mambo ya tiba na mliobobea katika masuala mbalimbali ya matibabu tena hasa ya huu ugonjwa wa vvu / ukimwi tafadhali hebu tuwekeni sawa juu ya hizo nadharia hapo juu kutokana na ukweli au uzooefu wenu.
 
Inategemea na condition,kwa mfano kama wale wadada wanatumia ARVs kwa ufasaha kuna uwezekano mkubwa wa HIV Viral load kushuka na kuwa ndogo kias kwamba wasiwe detected kweny machine,pia cd4 count zao zitakuwa ni nzur ivyo ukiangalia pia kama atakuwa amewaandaa vizur na asipate michubuko ni vigumu kdog kupata maambukiz.
Ila asijipe 100% yupo ok akaendelea na hiyo tabia yake AIDs is real atakuja jutia
 
ha ha ha ha majaribio hayo na hzo myth zao bado sana kwangu kuzikubal aisee.... na huyo rafik ako mwambie kuna anachokitafuta na atakipata
 
ni kweli ila ni bahati tu, siku si nyingi atapata mavumo ya huo uzinzi
 
unaweza kufanya mapenzi na mwanamke aliye na virusi vya ukimwi huku akiwa anatumia dozi na usipate maambukizi yake kama utayafanya haya yafuatayo?
  • ukamwandaa huku yeye sehemu zake zikiwa tayari zimeshalowa au kulainika
  • kama ukimwingilia lakini katika uume wako hakuna michubuko yoyote ile
  • kama tu utashiriki nae mara moja tu ( kumpiga bao moja tu )
  • kama una damu ya kundi o ( group o )
nimeuliza yote hayo juu kwakuwa nina rafiki yangu wa karibu kabisa ameshatembea na wanawake wawili ambao ni waathirika kabisa wa vvu / ukimwi huku mmoja akiwa anajua na mwingine hakujua lakini kila alipoenda kupima ameonekana ni mzima na hana maambukizi yoyote lakini wale wanawake wawili wote wameshamthibitishia kuwa ni waathirika mmoja huu ni mwaka wa saba ( 7 ) na mwingine huu ni mwaka wake wa nne ( 4 ).

na cha kushangaza tena kuna mwanamke mwingine ambaye ameshamtongoza na ni mwathirika lakini kesho wamepanga kwenda kufanya mapenzi bila ya yeye kutumia kinga ya condom kwani huwa siyo mtumiaji wa condoms hata kama akiambiwa kuwa mwanamke fulani ni mwathirika. magonjwa ambayo huwa anayapata mara kwa mara ni haya tu ya zinaa hasa gono na mara chache sana kaswende ila vvu / ukimwi huwa hapati.

wenye utaalam wa mambo ya tiba na mliobobea katika masuala mbalimbali ya matibabu tena hasa ya huu ugonjwa wa vvu / ukimwi tafadhali hebu tuwekeni sawa juu ya hizo nadharia hapo juu kutokana na ukweli au uzooefu wenu.

Mtu wa maana wa kumuuliza hapo ni huyo rafiki yako na si madaktari....muulize huyo rafiki yako kwanini anajiamini hivyo...inawezekana huyo rafiki yako ameshajua ukweli wa jambo hili kwamba HIV/AIDS ni feki....sasa muulize anaweza akakupa elimu usiyoitegemea.

Kama ulikuwa hujui basi jua kuanzia leo kwamba HIV/AIDS ni uongo uliopindukia...hakuna HIV,watu hufa kwa magonjwa yaliyokuwepo tangu zamani kabla ya huyo HIV feki kupata kiki....na wale wanaoutumia ARVs ndio hufa vifo vibaya zaidi mwishoni....fanya udadisi wako utajua tu...

Halafu pia nini rafiki yako....kuna watu wako kwenye ndoa kabisa...yaani mmoja amepimwa HIV+ lakini mwingine ni HIV-...wako kwenye ndoa kwa miaka mingi wamezaa watoto na watoto ni HIV-.Ukitaka kujua ukweli usisubiri kuletewa mezani,tafuta mwenyewe ndio inakuwa raha zaidi...yaani ukijua ukweli huu ni raha sana.....mwache huyo rafiki yako afurahie maisha yake...wewe endelea kuogopa kivuli chako mpaka pale utakapotambua ukweli huu.

Hili jambo limejificha sana,hivyo unahitaji juhudi kubwa kutambua ukweli wake.
 
unaweza kufanya mapenzi na mwanamke aliye na virusi vya ukimwi huku akiwa anatumia dozi na usipate maambukizi yake kama utayafanya haya yafuatayo?
  • ukamwandaa huku yeye sehemu zake zikiwa tayari zimeshalowa au kulainika
  • kama ukimwingilia lakini katika uume wako hakuna michubuko yoyote ile
  • kama tu utashiriki nae mara moja tu ( kumpiga bao moja tu )
  • kama una damu ya kundi o ( group o )
nimeuliza yote hayo juu kwakuwa nina rafiki yangu wa karibu kabisa ameshatembea na wanawake wawili ambao ni waathirika kabisa wa vvu / ukimwi huku mmoja akiwa anajua na mwingine hakujua lakini kila alipoenda kupima ameonekana ni mzima na hana maambukizi yoyote lakini wale wanawake wawili wote wameshamthibitishia kuwa ni waathirika mmoja huu ni mwaka wa saba ( 7 ) na mwingine huu ni mwaka wake wa nne ( 4 ).

na cha kushangaza tena kuna mwanamke mwingine ambaye ameshamtongoza na ni mwathirika lakini kesho wamepanga kwenda kufanya mapenzi bila ya yeye kutumia kinga ya condom kwani huwa siyo mtumiaji wa condoms hata kama akiambiwa kuwa mwanamke fulani ni mwathirika. magonjwa ambayo huwa anayapata mara kwa mara ni haya tu ya zinaa hasa gono na mara chache sana kaswende ila vvu / ukimwi huwa hapati.

wenye utaalam wa mambo ya tiba na mliobobea katika masuala mbalimbali ya matibabu tena hasa ya huu ugonjwa wa vvu / ukimwi tafadhali hebu tuwekeni sawa juu ya hizo nadharia hapo juu kutokana na ukweli au uzooefu wenu.
Mwambie akishafanya nahuyo akapime
 
unaweza kufanya mapenzi na mwanamke aliye na virusi vya ukimwi huku akiwa anatumia dozi na usipate maambukizi yake kama utayafanya haya yafuatayo?
  • ukamwandaa huku yeye sehemu zake zikiwa tayari zimeshalowa au kulainika
  • kama ukimwingilia lakini katika uume wako hakuna michubuko yoyote ile
  • kama tu utashiriki nae mara moja tu ( kumpiga bao moja tu )
  • kama una damu ya kundi o ( group o )
nimeuliza yote hayo juu kwakuwa nina rafiki yangu wa karibu kabisa ameshatembea na wanawake wawili ambao ni waathirika kabisa wa vvu / ukimwi huku mmoja akiwa anajua na mwingine hakujua lakini kila alipoenda kupima ameonekana ni mzima na hana maambukizi yoyote lakini wale wanawake wawili wote wameshamthibitishia kuwa ni waathirika mmoja huu ni mwaka wa saba ( 7 ) na mwingine huu ni mwaka wake wa nne ( 4 ).

na cha kushangaza tena kuna mwanamke mwingine ambaye ameshamtongoza na ni mwathirika lakini kesho wamepanga kwenda kufanya mapenzi bila ya yeye kutumia kinga ya condom kwani huwa siyo mtumiaji wa condoms hata kama akiambiwa kuwa mwanamke fulani ni mwathirika. magonjwa ambayo huwa anayapata mara kwa mara ni haya tu ya zinaa hasa gono na mara chache sana kaswende ila vvu / ukimwi huwa hapati.

wenye utaalam wa mambo ya tiba na mliobobea katika masuala mbalimbali ya matibabu tena hasa ya huu ugonjwa wa vvu / ukimwi tafadhali hebu tuwekeni sawa juu ya hizo nadharia hapo juu kutokana na ukweli au uzooefu wenu.
Ni uwongo mtupu. ..condom tu ndugu yangu!
 
Mimi siamini ulichokiandika kuhusu Huyu Rafiki Yako (Au wewe mwenyewe) Labda Nimshuhudie mimi mwenyewe Kwa Utafiti Wangu!!

Kama Vipi Anitafute inbox nimlete Kitaa Yupo Mdada Muathirika Ni Kahaba Nitamlipia Mimi Buku 5 amgonge Halafu After 3 months Anipe Mrejesho
 
jamani naomba kuuliza,kuna mtu kapata ajali gari lake likabiringika katika kumuokoa damu yake ikaturukia,kwanza mimi ikanirukia mguuni na nilikuwa na kidonda kidogo lakini kibichi na ni muathirika but mwili wangu na wake haukugusana because nilikuwa nimevaa glooves lakini damu ilinirukia sijui nitakuwa nmepata nmefika hosy nmechanganyikiwa kwa sababu nurses wengine wanakata nipewe dawa na wengine wanataka nisipewe dawa.Shida ni ile damu ya muathirika on air inakuwa na nguvu kwa muda gani.Na pia nisije nikatumia dawa ukapata ni uwoga tu
 
jamani naomba kuuliza,kuna mtu kapata ajali gari lake likabiringika katika kumuokoa damu yake ikaturukia,kwanza mimi ikanirukia mguuni na nilikuwa na kidonda kidogo lakini kibichi na ni muathirika but mwili wangu na wake haukugusana because nilikuwa nimevaa glooves lakini damu ilinirukia sijui nitakuwa nmepata nmefika hosy nmechanganyikiwa kwa sababu nurses wengine wanakata nipewe dawa na wengine wanataka nisipewe dawa.Shida ni ile damu ya muathirika on air inakuwa na nguvu kwa muda gani.Na pia nisije nikatumia dawa ukapata ni uwoga tu
Risk ni ndogo sana 0.1
 
jamani naomba kuuliza,kuna mtu kapata ajali gari lake likabiringika katika kumuokoa damu yake ikaturukia,kwanza mimi ikanirukia mguuni na nilikuwa na kidonda kidogo lakini kibichi na ni muathirika but mwili wangu na wake haukugusana because nilikuwa nimevaa glooves lakini damu ilinirukia sijui nitakuwa nmepata nmefika hosy nmechanganyikiwa kwa sababu nurses wengine wanakata nipewe dawa na wengine wanataka nisipewe dawa.Shida ni ile damu ya muathirika on air inakuwa na nguvu kwa muda gani.Na pia nisije nikatumia dawa ukapata ni uwoga tu

Naona kama haujipendi.. kwani umewauliza hizo dawa ukimeza itakuwaje? Sababu yako ya kuziogopa ni nini haswa?

Na usipomeza upo tayari kuishi ukipima pima na kupitia hofu kusubiria majibu.. na hapo je ukipima ukakuta umeupata.. utalia au ndio kuanza kuishi kwa majuto na kujimaliza mapema?

Na hapo labda hata unakuwa umeupata kwingine na sio kwa tukio? Utaishi unajilaumu bure kumbe ulipopatia ni labda ngono
 
unaweza kufanya mapenzi na mwanamke aliye na virusi vya ukimwi huku akiwa anatumia dozi na usipate maambukizi yake kama utayafanya haya yafuatayo?
  • ukamwandaa huku yeye sehemu zake zikiwa tayari zimeshalowa au kulainika
  • kama ukimwingilia lakini katika uume wako hakuna michubuko yoyote ile
  • kama tu utashiriki nae mara moja tu ( kumpiga bao moja tu )
  • kama una damu ya kundi o ( group o )
nimeuliza yote hayo juu kwakuwa nina rafiki yangu wa karibu kabisa ameshatembea na wanawake wawili ambao ni waathirika kabisa wa vvu / ukimwi huku mmoja akiwa anajua na mwingine hakujua lakini kila alipoenda kupima ameonekana ni mzima na hana maambukizi yoyote lakini wale wanawake wawili wote wameshamthibitishia kuwa ni waathirika mmoja huu ni mwaka wa saba ( 7 ) na mwingine huu ni mwaka wake wa nne ( 4 ).

na cha kushangaza tena kuna mwanamke mwingine ambaye ameshamtongoza na ni mwathirika lakini kesho wamepanga kwenda kufanya mapenzi bila ya yeye kutumia kinga ya condom kwani huwa siyo mtumiaji wa condoms hata kama akiambiwa kuwa mwanamke fulani ni mwathirika. magonjwa ambayo huwa anayapata mara kwa mara ni haya tu ya zinaa hasa gono na mara chache sana kaswende ila vvu / ukimwi huwa hapati.

wenye utaalam wa mambo ya tiba na mliobobea katika masuala mbalimbali ya matibabu tena hasa ya huu ugonjwa wa vvu / ukimwi tafadhali hebu tuwekeni sawa juu ya hizo nadharia hapo juu kutokana na ukweli au uzooefu wenu.
Nadharia hiyo ni kweli na wewe nenda kafanye
 
Je naweza pata ukimwi kwa kunywa maji kikombe kimoja na mgonjwa wa ukimwi au kula naye sahani moja???
 
Back
Top Bottom