Hizi ndo elementi zenyewe za ubinafsi-ukabila!Nyie mnaowatukana Wanyakyusa ni wapumbaf kabisa! Mchaga, Mhaya, Mnyakyusa ndo wajanja wa nchi hii kuongoza kielimu. Hata kwa vyuo wanaongoza! Sasa wewe wa Lindi, Mtwara, Kigoma na Phwani unathubutu kuwasema wanyakyusa? Nyamaza wewe!
Wanyakyusa mnajulikana hata mkikataa. Sasa hivi kila anayeandika hapa anajitetea kwa mapovu huku akisema yeye si mnyakyusa. Mwenye elimu hakatai kabila lake eti kwa sababu atadhalilika. Unatakiwa kutetea tabia zenu za uf--ka na hayo hapo juu ili uieliimishe jamii kwamba siyo mabaya.
Mtoa mada kaandika anayoyasikia kuhusu wanyakyusa. Wakinga hamuwawezi kwa sababu wao ni watu wa kazi si majungu kama ninyi. Sugu mlimpa kura kwa sababu wakinga walimsimamia na kufacilitate kwa ma milioni yao wala usiidanganye dunia kwamba Sugu kawekwa na ninyi wenye wivu.
Mbeya mjini hamtakiwi na ukabila wenu unakwama kwa sababu hata wa Safwa hawawataki kwa ajili ya uozo wenu. Na isiitoshe mjini ni kwa wasafwa siyo kwenu ndiyo maana mnaishia kupiga majungu lakini pana wawia vigumu ku-dominate kwa asilimia kubwa.
Bahati nzuri sijawahi kufanya kazi ya kuajiriwa. POLENI WENYE KUFANYA KAZI OFISI MOJA NA WANYAKYUSA. MIJITETEE SANA. HAKUNA MTU ALIYESEMA KWAMBA TABIA ZENU ZA MAJUNGU, FITINA, UWONGO, UF..SKA, WIVU UNAFIKI NI MBAYA. NI NZURI TU ZINAPENDEZA SAAAANA!. MSIONE HAYA HADI MNAANZA KUKATAA KABILA LENU.
VIVA WASOKILEE!
Namuona mkuu Lekanjobe Kubinika anachungulia hapo chini,...ngoja aje aongeze nguvu hapa_maake huyu Tabby katukamia kweli kweli kutuchafua
We Tabby hata sijui nianzie wapi; hata sababu ya kukukasirikia nimekosa.
Ila umefanya vizuri kusema hujawahi kufanya kazi ya kuajiriwa katika ofisi moja na Mnyakyusa. Mimi mwenzio nimewahi kufanya kazi katika ofisi moja na Wanyakyusa. Na Kwa taarifa yako walikuwa wao watupu; mimi peke yangu ndo nilikuwa kabila ingine. Mbona tulielewana? unajua sikuelewi?
Hilo la Ufuska mi wala hata sikukatalii. Hebu nambie, hivi kule kwenu wanawake huwa mnawaangaliaga tu wanatembea hivihivi. Au? Wakipata heat? Mnawakatalia, au? ...nanihii zenu zoooote ni za kukorogea chai. We vipi Tabby bwana. Tafuta kitu kingine cha kusema. We unajua baada ya midundiko wazaramo huwa wanaishia wapi? Na hizo staili za Katerero ziligunduliwa unyakyusani, au? Na zile taarifa za fumanizi katika magazeti ya Shigongo zooote wanyakyusa, au? MAJUNGU, FITINA, UWONGO, U.F.U.S.K.A, WIVU, UNAFIKI, hizi ni tabia za kiumbe binadamu kwa ujumla wake. We kwenu hakuna majungu?
Hiyo ndiyo sifa mnatamani isomeke.
1. Tabia zenu na ukabila umedumaza mji wa mbeya japo mmelazimisha liitwe jiji. Mgekuwa watu wa ukweli, mngekuwa mbali sana maana mna uwezo wa kupata kila kitu kinachohitajika kwa maendeleo. Ila tabia zenu, du!.
2. Migongano katiaka halmashauri za wanyakyusa ni kwa ajli ya ukabila. Kila asiye mnyakyusa mnampiga vita,majungu aondoke ama apate matatizo kwa kuwa hamtaki kuongozwa na asiye mnyakyusa.
3. Usiwadanganye watu kwamba eti mnaishi kwa amani na makabila mengine wakati kila mtu anawakimbia. Watu wakija kwenu wanapewa semina kabisa kwamba huko kuna wanyakyusa. Kijana akitaka kuona mbeya wanauliza kabila la mchumba. Kama anaoa mnyakyusa hapewi hongera badala yake anapewa pole.
4. Pengine wadanganye ambao hawajakaa Mbey. Mimi niliishi mbeya miaka mitatu. Mwanzoni nilidhani mnasingiziwa mlivyo kuwa wanafiki hadi nilipowashuhudia.
5. Toa tafsiri na matumizi ya maneno "Mjanga" na "Mhesya".
6. ACHENI UNAFIKI, MAJUNGU NA UMBEYA WANYAKYUSA. MTAMALIZWA MENO MIDOMONI. SHAURI LENU.
CCM inawaonea sana Wanyakyusa, wasiposhtuka watamalizwa.
Kiswahili kigumu jamani, mtaalamu wa kiswahili Bariadi nzima Kongosho njoo huku usaidie watu kuelewa.Hao uliotaja wewe hawatoki kabila moja kama waliotajwa na mleta mada, huoni kuwa utetezi wako unakosa mashiko?
Umapigwa badara ya kujibu unatoa binti akaolewe? ha ha ha ha ha,kye kye kye kyeeeeee
Ni wazi we ni mgumu kuelewa japo nmeandika kwa lugha ya kiswahili ambacho yumkini kila mtz anajvinjari nayo. Kwa kifupi nlitaka mleta mada atufahamishe kama hao watu nlio wataja nao pia ni Wanyakyusa. USHAURI: Siku nyingine jaribu kuwa na mtazamo mpana kwa jambo unalo taka andikia jamii kwani siku zote unacho andika au kinawakilisha mipaka ya ufikiri wako.
We Tabby hata sijui nianzie wapi; hata sababu ya kukukasirikia nimekosa.
Ila umefanya vizuri kusema hujawahi kufanya kazi ya kuajiriwa katika ofisi moja na Mnyakyusa. Mimi mwenzio nimewahi kufanya kazi katika ofisi moja na Wanyakyusa. Na Kwa taarifa yako walikuwa wao watupu; mimi peke yangu ndo nilikuwa kabila ingine. Mbona tulielewana? unajua sikuelewi?
Hilo la Ufuska mi wala hata sikukatalii. Hebu nambie, hivi kule kwenu wanawake huwa mnawaangaliaga tu wanatembea hivihivi. Au? Wakipata heat? Mnawakatalia, au? ...nanihii zenu zoooote ni za kukorogea chai. We vipi Tabby bwana. Tafuta kitu kingine cha kusema. We unajua baada ya midundiko wazaramo huwa wanaishia wapi? Na hizo staili za Katerero ziligunduliwa unyakyusani, au? Na zile taarifa za fumanizi katika magazeti ya Shigongo zooote wanyakyusa, au? MAJUNGU, FITINA, UWONGO, U.F.U.S.K.A, WIVU, UNAFIKI, hizi ni tabia za kiumbe binadamu kwa ujumla wake. We kwenu hakuna majungu?
....Mtu akiumwa sana malaria, na ikapanda kichwani anaanza kuropoka madudu. Nadhani Tabby anahitaji matibabu, atafutiwe Quinine na apewe chandarua cha bure....
Duuuh! Kiukweli hawa jamaa wanapenda saaaana Much know life style. Nadhani ndiyo inayowafanya wanakuwaga na kawivu fulan
Nasikitika sana kututukana Wanyakyusa!
Lakini naona kama una tatizo na hili kabila letu, na kuwa kuna uwezekano umetendwa na mmoja wetu basi umeamua kutumalizia wote na hasira zako, pole sana.
Nahisi hata dhamira inakusuta, maana unajisahau kuwa Wanyakyusa nao ni binadam wana tabia zao binafsi, kama ilivyo kwa watu wa makabila mbalimbali.
Kwa kuwa umeamua kutupa sifa zote chafu, kwa niaba yao naomba nikuambie NDAGA sana!
Lakini ukumbuke, shutuma zako unaonekana haujazifanyia utafiti wowote, umeendeshwa na hasira tu.
Sitaki kujisifia kwamba sisi Wanyakyusa tulivyo, lakini jamii tunayoishi nayo inathibitisha hilo!
Hivyo taby, endelea na mahasira yako ya kijinga dhidi yetu labda ndio hasira zako zitaisha.
Lakini ukweli utabaki kuwa Wanyakyusa ni bora mara elf zaidi yako!
ha ha ha ha... Tabby leo naona kachelewa kuingia kef. kama ni kilaptop basi kitakuwa kimeisha chaji.
ha ha ha ha... Tabby leo naona kachelewa kuingia kef. kama ni kilaptop basi kitakuwa kimeisha chaji.