Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 140
- Thread starter
- #21
true madamu.
bt ebu chek
mtu mrefu ana kitaaaaaaamb ichoo vs mtu mfuuuuuuuuuuup ktamb ichoooo..
ilekitu itashrink sana kwa mfup yap kwa mrefu itadidimia pia lakn si kiivo..
mdwaf kitamb mbele apana aseee...ahh afu kwa kukoroma aooooooo weeeee hawafai NASKIA KWA JIRAN YANGU JINS JAMAA ANAVYOKOROMA UKIMCHEK ASUBUI UYO MTU MFUP KM KIKOMBE CHA KAHAWA TUMBO KULEEEEEEEEEEE KUSEMA KAKIMBIA LEBA..ahh stak mie..
hahaha....kwikwikwiii..........ni kweli Rose ila hao warefu mifagio yao huwa mirefu lakini membamba yenye chelewa chache.zaidi inaumiza tu na yahitaji ufundi mkubwa kuweza kukabili mambo tofauti na mfupi ati..!