Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
....mmmmmh vijana siku hizi mna mambo......Loh!
true madamu.
bt ebu chek
mtu mrefu ana kitaaaaaaamb ichoo vs mtu mfuuuuuuuuuuup ktamb ichoooo..
ilekitu itashrink sana kwa mfup yap kwa mrefu itadidimia pia lakn si kiivo..
mdwaf kitamb mbele apana aseee...ahh afu kwa kukoroma aooooooo weeeee hawafai NASKIA KWA JIRAN YANGU JINS JAMAA ANAVYOKOROMA UKIMCHEK ASUBUI UYO MTU MFUP KM KIKOMBE CHA KAHAWA TUMBO KULEEEEEEEEEEE KUSEMA KAKIMBIA LEBA..ahh stak mie..
Hapa have no any experience ngoja wajisemee wenyewe
Ila kwa upande wa matabia ndo iko kazi
I hope nipo Jamii Forums? Right?
hivi kuna Ma First Ladies wawili hapa? mbona sielewi? au ni mtu mmoja
Wapo wawili! FL na FL1hivi kuna Ma First Ladies wawili hapa? mbona sielewi? au ni mtu mmoja
nasikia kwamba wanaume wafupi manayajua mapenzi na wamejaliwa mfagio wenye saizi nzuri ambao hudatisha wanawake wengi.
wanaume wafupi huwa na saizi isiyokera na pia isiyohitaji ufundi mwingi ili kutoa raha kwa mpenzi.
nijuzeni basi kama hili ni kweli ili nami nitafute wakwangu mfupi...........!
mimi mwenyewe mfupi lakini nyanzala huwa anajisifu kwa wenzie na mara nirudipo safari huwa na kimwemwe acha weeeeeee jaribu uone
mwe mwe mweeeeeeeeeee dont dare.......!!!!!!!
wanaume WENGI LAKIN SI WOTE wafup wana tabia izi:
--wana gubu...kitu kdg atakikuza icho mpk utashangaa
--hawajiamin na ikiwa umempta urefu ndo kabisa anahisi km unamdharau..unamwona mtoto ..unamchukulia poa
--wagomvi ..wanapenda bfu ao usipime..i inatokana na kudhani haeshimiwi sasa katika kuonyesha uanaume wake ndo apo sasa makonz nje nje
--hawana comprmise..MIMI NDO KICHWA CHA NYUMBA ..mimi mwanaume nshasema..i inatokana na infrty cmplx
KUHUSU MFYAGIO mmh sijui manake minajuana ile kitu ina ratio na mwili wa mdau mtu mrefu likell akawa na...mtu mfupi atakuwa na....mtu mnene+ktambi kikubwa+mfupi likelya takuwa na .....
Wapo wawili! FL na FL1
Hilii jamvi linanipa starehe kweikwei, FL. WL, Nguli, generation, teamo, kimey, Mad t, Rose 1980, Chigwiye na wengine you have made my evening. thanx alot. Its like you were all serious. Haya jama ijumaa njema!