Je, Ni kweli kusifu ni bora kuliko kukosoa?

Mwanakanenge

Member
Nov 25, 2012
75
16
Habari wana jukwaa,

Nimejaribu kupitia thread na magazeti mbalimbali zikizungumzia juu a Benard Membe juu a ukosoaji wake dhidi ya serikali awamu ya tano.

Makundi mbalilmbali amekuwa yakimshambulia kwa ukosoaji wake huo.Je kusifu tu bila kukosoa yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano ni bora zaidi katika kufika kule watanzania tunapopataka?
 
Kila mtu anamtazamo wake kwenye kitu chochote. Huo ni mtazamo wake, sasa watu wachuje je mtazamo wake ni +ve au -ve. Sioni haja ya kumshambulia
 
Magu akisifiwa sana ataharibu. Atatoa mambo kichwani mwake na kuwa sheria. Akikumbushwa wananchi wanataka nini tutafika pahala.
 
Sio vibaya lakini tunajiuliza ?? Kipindi chote alichokuwa kiongozi mbona alikuwa mtu Wa kukanusha tu na tena kwa vitu ambavyovilikuwa wazi hasa katika wizara yake kwakulinda serikali ya mkwele now amepata wapi ujasili wa kusimama na kuyasema haya ambayo yanainekana watu waliyo wengu kuwa yana manufaa kama alikuwa sahihi bac angejitokeza kwenye kipindi cha mkwele na kuhunga mkono hoja za wapiza ambozo zilioneka kuwa wazi katika utendaji wake dhidi watanzania waliokufa huko south kwenye xenophobia,juu ya pembe za ndovu kukamatwa chaina balozi kutokuwa na utendaji unaolidhisha na nengine mengi
 
Back
Top Bottom