Je, Ni kweli kuna wanawake wenye roho za kuzimu

samakinchanga

JF-Expert Member
Aug 24, 2014
2,015
1,219
Yaani kila akiolewa au ukiwa mchepuko wa mtu huyo mume anakufa kiajabuajabu kimazingara. Na dawa yake nini.na kuna jina maalumu kwa hao?
 
Kanisani au msikitini..... Usiende kwa mganga maana nae atakuongezea jini kichaa kabla jini mauti hajakumautia jini kichaa anapanda
 
Kuna wengine wana jini mfilisi, ukiwa naye mambo yako yanaharibika kabisa km ulikuwa na business nzuri unashangaa ghafla unafiliska, au unashangaa ghafla umefukuzwa kazi km ulikuwa umeajiriwa, hivyo ni vyema kuepuka kuwa na kila mwanamke.
 
Thread yako inamlenga celebrity flan hivi,sema unazunguuuka.

Haya mkuu,endelea.
 
Back
Top Bottom