Wa Kwilondo, ebu wacha utani.
Wewe Grumeti si ya Kikwete, ile inamilikiwa 100 % na ptj , bilionea wa ki america anaefanya mashughuli ya mahisa huko us, na ndomaana wa us hawaishi kuja huko, mfano bill, bush nk.
tena hiyo hotel ni imekamata tuzo yakuwa hotel bora duniani 2011/12 . kwa taarifa yako. Kikwete hausiki hapo.
Inaitwa Bilila, siyo Grumeti. Ipo mbugani Serengeti.
Wewe Grumeti si ya Kikwete, ile inamilikiwa 100 % na ptj , bilionea wa ki america anaefanya mashughuli ya mahisa huko us, na ndomaana wa us hawaishi kuja huko, mfano bill, bush nk.
tena hiyo hotel ni imekamata tuzo yakuwa hotel bora duniani 2011/12 . kwa taarifa yako. Kikwete hausiki hapo.
tuthibitishie zaidi usemayo
kWAKWELI SIJAELEWA ULICHOTAKA KUKISEMA HASA AS FAR AS THIS THREAD IS CONCERNEDWatanzania mbona tumelalwa hivi? Jamani tuamke kungali adhuhuli. Mnaojiita wasomi mko wapi? Au mmejificha JF kwa majina bandia? Ushujaa uko wapi? Ujasiri umesafiria njia gani?
Tutumie elimu zetu kutokomeza hii kitu Maxene kajaribu kupitia JF lakini hajaweza maana ujumbe haufiki ipaswavyo je njia mbadala ni ipi? Inauma sana hii
Ndio maana naukumbuka ule msemo 'ukistaajabu ya mussa.... Wakazi wa Morogoro hebu waelezeni wana JF kuhusu hoteli maridhawa iliyofunguliwa hivi karibuni mtaa wa Boma! na jina la mmiliki wake..utazimia!.lakini hayo si majengo mawili tu?