Kila nikienda Bagamoyo lazima nipite hapo sokoni kula samaki.
Mara ya mwisho nilipeleka binti kwenye ile interview kanyabwoya ya St. Marrian nami kwenda ku barz sokoni hapo ndipo nikaonyeshwa mjengo na kuelezwa ni ya Mzee kiwazi wazi na kihalali na sio kisiri siri kama Grumeti!.
Pasco
location ya hii hoteli ni best (prime)
kinachonisikitisha mimi ni quality yaujenzi na finishing ya hii hoteli, very poor, how can the big fish own a low quality hotel like this?