Je ni kweli GPA Kubwa iliniponza!! Nimechemsha au!!

mimi ni lecturer pia,tatizo tunajikweza sana na kudharau waliopo nje ya vyuo hivyo hatuweki networking nao. Sijui uko chuo gani na field ipi? Ni pm nikupe mtoko.Dont argonize but organize.
 
Mkuu soma vitabu:"rich dad poor dad"na "get rich retire young"majibu yako yoooote yamo humo,watu wengi ni maskini kwa kuwa wanafikiria 2 kusoma na kufaulu vizuri ili wapate kazi nzuri!kuuna njia nyingine,tafuta hivyo vitabu ni ukombozi hasaa....!
 
Mkuu soma vitabu:"rich dad poor dad"na "get rich retire young"majibu yako yoooote yamo humo,watu wengi ni maskini kwa kuwa wanafikiria 2 kusoma na kufaulu vizuri ili wapate kazi nzuri!kuuna njia nyingine,tafuta hivyo vitabu ni ukombozi hasaa....!
Ukombozi hauko vitabuni..hao life coaches are just another scums. Kifupi hakuna uezekano wa kila mmoja wetu akawa tajiri, hicho kitu hakipo.
 
mimi ni lecturer pia,tatizo tunajikweza sana na kudharau waliopo nje ya vyuo hivyo hatuweki networking nao. Sijui uko chuo gani na field ipi? Ni pm nikupe mtoko.Dont argonize but organize.

mmhhh kweli we FISI ni lecturer ww :D :ranger:
 
Yote ni mipango ya mungu

mkuu sorry i،m a religious person lakini hii kauli huwa siipendi katika kazi zangu kuliko zote,i blv everything(success nd failure) is of our own doing uc2mie Mungu as an excuse
 
Good guy njoo Ardhi University utanikuta miaka 7 sasa. M full lecturer. Ni kweli ukijitega na ufundishaji tu hali inakuwa ngumu hasa kwa idadi inayozidi ya wanafunzi.
 
Ukombozi hauko vitabuni..hao life coaches are just another scums. Kifupi hakuna uezekano wa kila mmoja wetu akawa tajiri, hicho kitu hakipo.

sure,but the probability of any 1,to get rich is equal!so its just how u play your cards
 
ni ufungua wa kudadavua yale yaliojificha na kuyaweka wazi then kuyafanya kwako ww mwenyewe au jamii kunufaika nayo

kwahiyo hiyo haina msaada wowote kwenye suala la kipato!!, Labda hiyo Elimu hapo ni ya kiwango gani!.
 
mimi ni lecturer pia,tatizo tunajikweza sana na kudharau waliopo nje ya vyuo hivyo hatuweki networking nao. Sijui uko chuo gani na field ipi? Ni pm nikupe mtoko.Dont argonize but organize.

Si kwamba wote ndio wako hivyo. Hizo ni tabia za mtu yoyote hata kama si Lecturer.
 
Nimejifunza kitu hapa!:confused2:
Asante sana kwa hii thread yako, ila mimi nimegundua hili mapema kabla sijafika mbali.

 
Nilichojifunza kwenye uzi huu ni kwama, maisha hayana formula! Weka malengo binafsi na wala usihangaike kujifananisha
 
Baadhi ya watu humu watamuona kama Big Banned kama kilaza fulani ila anaongea ukweli mtupu, kwa hawajui adha na tabu ndani ya hizi higher learning institutes.
Nakushauri Big Banned chukua maamuzi magumu baada tu ya kulitambua hilo, fanyia kazi kwa bidii, utatoka tu mkuu!!!!
 
Tatizo kubwa ni serikali yetu kutojali au kutoa kipaumbele katika tafiti. Ukiwa mhadhiri unatakiwa kubuni tafiti na miradi mbalimbali ambayo inaweza kuleta maendeleo ya jamii pamoja na mfuko wako.

Elimu uliyofikia ni bomba kabisa unatakiwa sasa ukae chini na uanze kuitumia hiyo elimu ikuletee mabadiliko ya maisha yako pamoja na jamii. Usiwe mvivu wa kufikiri na kuandika. Hata hivyo kama utaamua kutafuta kazi nyingine utapata tu kutokana na elimu yako.

Jiwekee malengo yako ya maisha na anza taratibu kama kujenga, biashara au kununua gari n.k. Usishindane na mtu bali tamani maendeleo ya mtu na utafanikiwa kwa juhudi zako na baraka za Mola.

Nikupe stori moja: Jamaa wawili walienda kusoma Masters Uingereza wakawa wanapiga na kazi zile ndogondogo. Mmoja akasema yeye anasave akirudi ajenge nyumba na kununua gari. Yule mwingine akasema hata mimi lazima nionje vya wazungunitaviona wapi tena (sex). Kweli bwana kila mmoja akatimiza malengo yake na wakarudi bongo. Kila mmoja na kipaumbele chake cha kuanzia: Taratibu maisha yameenda wote sasa wanafamilia, nyumba, magari na biashara.

Kila lakheri mdau
 
Nilichojifunza kwenye uzi huu ni kwama, maisha hayana formula! Weka malengo binafsi na wala usihangaike kujifananisha

Mi nafikiri formula ipo. Ila ni namna ya kuifuata vizuri hiyo formula. ukikosea kidogo utapata jibu ambalo si sahihi!.
 
Inaonyesha wazi kabisa kuwa elimu yako haijakusaidia kuwa na upeo!!!
Kwanza sio maadili kabisa (professional ethics) kwa msomi kama wewe kuandika mambo kama haya yenye muelekeo wa kulinganisha elimu na kipato.
Pili ujue kwamba mafanikio sio kujenga au kuwa na gari au kuwa tajiri. Mafanikio ni kufikia malengo. Hiyo phd yako ni mafanikio makubwa kuliko hao wenye utajiri.
Tatu Elimu hailinganishwi na utajiri. Kumbuka wakati upo sekondari wenzako walioishia la saba wengine walikuwa matajiri tayari.
Mwisho, nimegundua kuwa una elimu ya darasani lakini huna Hekima. Anza sasa kujifunza hekima !!!


Naunga mkono hoja.
 
Naunga mkono hoja.

Ndivyo tunavyojindangaya wasomi!!. Tunapenda kufa wenyewe kimya kimya, kama vile hatujali!!. Lakini sitashangaa kama we ni msomi toka enzi za nyerere, mwinyi, sababu hutaelewa naongea nini!!. waulizeni vijana wenu wasomi wanaoibuka wakati huu, kuazia enzi za mkapa, kikwete. utapata jibu. Kingine nyie wasomi wa zamani ndio mnaochangia sana kuwaangusha wasomi vijana wa sasa, mnajifanya busy sana, mnawatupia kazi nyingi vijana, eti ndio tujifunze kazi, nyie mnaenda linda investment zenu.
 
Back
Top Bottom