Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,781
tumesoma kwenye jografia kua dunia inazunguka jua hivyo tunapata majira ya mwaka kama kiangazi na masika je ni kweli? galileo alikuwa sahihi?
Fikra ya kawaida
chukulia umepanda ndege au hellcopter halafu unaenda marekani then ile hellcopter ikasimama juu angani kwa muda mrefu lets say mwezi mmoja, je dunia itakuacha? kama haikuachi hio dunia inazungukaje kwenye orbit? na zile satelite ambazo zipo angani kama dunia inazunguka kwenye orbit mbona hatuzigongi? tunaambiwa dunia inazunguka kwa speed kubwa sana ina maana satelite zinamatch speed ya dunia?
Theory ya taycho brahe
Jamaa huyu mdanish (denmark) alitoa theory yake ambayo inamashiko tu
-sayari nyengine kama mercury na venus zinazunguka jua
-then jua na mwezi vinazunguka dunia
Kama theory ya juu ipo sahihi inamaana hata dunia haizunguki bali jua ndio linatuzunguka.
Mnaonaje hii ipoje? kuna mtu ana point za kuprove kuwa galileo yupo sahihi?
Fikra ya kawaida
chukulia umepanda ndege au hellcopter halafu unaenda marekani then ile hellcopter ikasimama juu angani kwa muda mrefu lets say mwezi mmoja, je dunia itakuacha? kama haikuachi hio dunia inazungukaje kwenye orbit? na zile satelite ambazo zipo angani kama dunia inazunguka kwenye orbit mbona hatuzigongi? tunaambiwa dunia inazunguka kwa speed kubwa sana ina maana satelite zinamatch speed ya dunia?
Theory ya taycho brahe
Jamaa huyu mdanish (denmark) alitoa theory yake ambayo inamashiko tu
-sayari nyengine kama mercury na venus zinazunguka jua
-then jua na mwezi vinazunguka dunia
Kama theory ya juu ipo sahihi inamaana hata dunia haizunguki bali jua ndio linatuzunguka.
Mnaonaje hii ipoje? kuna mtu ana point za kuprove kuwa galileo yupo sahihi?