Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Mkuu Mkandara,
Kweli Bush ataenda Tanzania bila ya media yoyote ya Tanzania kujua?
Inawezekana amenunua ardhi lakini sidhani kama ameenda TZ kimya kimya.
Pia kama ni kweli amenunua ardhi TZ ni jambo zuri. Hata kama simpendi Bush lakini jambo lolote ambalo linaweza kuwaongezea mlo Watanzania wenzangu hata kama ni wachache mimi nitaliunga mkono.
Kitendo cha mtu kama Bush kukaaa TZ hata kwa wiki moja tayari kuna Watanzania kibao wanaweza kufaidika.
So far what I know, hizi media zetu bado ni waoga, na wanatishwa sana tu, kuna ishu nyingi saan ambazo hawawezi wakaziandika, waulize wenyewe.
Bush ni mmoja wa wamiliki wa BARRICK GOLD COMPANIES, na TRA hawanusi pua kule!!! waliowahi kunusa pua walikiona cha moto, nchi ishauzwa hii, muulize Kikwete risiti!