Je ni kwasababu gani watu wanapenda wowowo?

Wakuu, hii kitu ni balaa.
Buffy the vampire huwa ananikoroga kabsaa.
Hii kitu uifanya mashine ipate moto wa ajabu...
 
hii kitu ipo wapi nimuelekeze mtu aende hapo....mifiga yoote kama Bria Myles
Bria-Myles-360x480-37kb-media-2598-media-117542-1183883713.jpg

Thanks God
 
hii kitu ipo wapi nimuelekeze mtu aende hapo....mifiga yoote kama Bria Myles
Bria-Myles-360x480-37kb-media-2598-media-117542-1183883713.jpg

Thanks God


Uwezo wangu wa kufikiri hunipungua ninapoona kitu kama hii....ama kweli Mungu hupendelea wengine.....
 
Kwa hiyo waungwana mnaopenda akina dada wenye makalio makubwa, kwenu mwanadada asiye na makalio makubwa sio mzuri?
 
Kwa hiyo waungwana mnaopenda akina dada wenye makalio makubwa, kwenu mwanadada asiye na makalio makubwa sio mzuri?
makalio yasiwe makubwaa saaana....
ashanti+photo.bmp

lile kama la bria myles zuri kulitumia tu na kuangalia.....
 
I think it is instinct, not a learned behavior. I also think you are wrong (somehow) kwani most men do not appreciate beauty by looking at the bumbum (only)
Lakini sio siri, ni chakula nzuri ya macho (when clothed) - chuo tulikuwa tunaita OPTICAL NUTRITION. lol

Umenikumbusha mbali mkuu optical nutrition haswa!
 
Inavyoonekana wanaume wengi hupendelea wanawake wenye vijungu. Na mara nyingi wanawake wa aina hii kila wanapopita hutazamwa sana, hutaniwa na wengine hutongozwa kila mara. Swali langu ni kwa wale wanaume wenye wivu. Mnajisikiaje kuwa na mdada mwenye kijungu cha haja ambacho wewe wajua kuwa akipita mtaani madume wenzio hupagawa na wewe una wivu je huwa mnajikabili vipi?

Sense: kuna raha gani kupenda kitu ambacho kinapendwa na wengi? hamuogopi kuporwa?
 
Inavyoonekana wanaume wengi hupendelea wanawake wenye vijungu. Na mara nyingi wanawake wa aina hii kila wanapopita hutazamwa sana, hutaniwa na wengine hutongozwa kila mara. Swali langu ni kwa wale wanaume wenye wivu. Mnajisikiaje kuwa na mdada mwenye kijungu cha haja ambacho wewe wajua kuwa akipita mtaani madume wenzio hupagawa na wewe una wivu je huwa mnajikabili vipi?

Sense: kuna raha gani kupenda kitu ambacho kinapendwa na wengi? hamuogopi kuporwa?
wewe mwanajamiiOne
kwani mnapotembea na hereni au vito vya thamani hasa mitaa kama ya nzese hivi hamuogopi kuporwa???

Unajua ile kitu bwana ni kama sahani inaliwa inaoshwa kisha mwingine anaitumia bila tashwishwi. Hivyo kama ujuavyo kuwa na kiatu haina maana usinunue viatu vingine ati. ingawa kuna viatu vya aina nyingi, kama mokasini, safaributi, raba n.k. (Nimeshindwa Kufikiria)
 
Back
Top Bottom