Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Wakulu heshima mbele.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia salamu za raisi wetu mheshimiwa Jakaya Kikwete ambazo ni ama za kupongeza, au kutoa rambirambi au kutoa pole.
Mara nyingi mheshimiwa rais wetu amekuwa anaitumia kurugenzi ya mawasiliano ya Ikulu kuandika na kutoa salamu hizo kwa umma kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
Kwahio kinachotokea hapo ni uchapaji wa barua hizo na mwisho inasemwa alieandika ni kurugenzi ya mawasiliano.
Mifano ipo mingi kwa kuangalia salamu nyingi tu ambazo mheshimiwa rais ametuma katika siku za hivi karibuni na akawaachia watu wengine wamalizie.
Je ni kwa sababu zipi mheshimiwa rais amekuwa hatii saini mwisho wa salamu zake, je anahofia nini au haoni kwamba jambo hilo sio sahihi kiitifaki?
Naomba kuwasilisha hoja.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia salamu za raisi wetu mheshimiwa Jakaya Kikwete ambazo ni ama za kupongeza, au kutoa rambirambi au kutoa pole.
Mara nyingi mheshimiwa rais wetu amekuwa anaitumia kurugenzi ya mawasiliano ya Ikulu kuandika na kutoa salamu hizo kwa umma kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
Kwahio kinachotokea hapo ni uchapaji wa barua hizo na mwisho inasemwa alieandika ni kurugenzi ya mawasiliano.
Mifano ipo mingi kwa kuangalia salamu nyingi tu ambazo mheshimiwa rais ametuma katika siku za hivi karibuni na akawaachia watu wengine wamalizie.
Je ni kwa sababu zipi mheshimiwa rais amekuwa hatii saini mwisho wa salamu zake, je anahofia nini au haoni kwamba jambo hilo sio sahihi kiitifaki?
Naomba kuwasilisha hoja.