Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
Katika jukwaa la JF Doctor kuna thread inayoendelea kujadiliwa yanye kichwa cha habari ''Swala la kutahiriwa kwa wanawake mnasemaje?''. Ningependa wadau wa lugha tujajiliani juu ya lipi neno sahihi, kati ya kutahiriwa na kukeketwa, linaloeleza kitendo cha mwanamke kukatwa kinembe chake. Uwanja ni wenu