kijukuu kindo
Member
- Sep 19, 2010
- 86
- 12
Kwa mujibu wa maadili ya jobs(kazi) haitakiwi na sio nidhamu za kazi na jengne nakubali kwamba mt2 yeyote hula kazini kwake lakini nat2mai sio kula hii iliyokusudiwa ktk kaziiiiiiiiii!!! Doctor upoooo!! Fikiri kwanza !!!
Mi nimeona rafiki yangu alienda kuchek malaria dispensari moja akakutana na nesi mmoja, akamwomba namba ya simu na kilichofuata alimlamba na ukawa ndo mchezo. Kw hyo hata mgonjwa anaweza kumfanyizia daktari wake