Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kwa mujibu wa kipima joto cha jarida la Pulse watumishi wengi wa afya nchini Uingereza wanapenda kulegeza maadili makali ya kutoruhusiwa kujenga mahusiano ya kingono na wale wanaowapa huduma za kiafya.
Daktari asiye bingwa Tony Grewal wa jijini London, anasema: "Kuzuiwa kabisa kuwa na mahusiano na wagonjwa au wagonjwa wa zamani ni zuio lisilo la sahihi katika haki za kutafuta furaha kwa madaktari na wagonjwa pia."
"Tunahitaji upya, mwongozo wa kijamii wenye mamlaka ambao utakubali kuwa mabadiriko katika miaka 20 iliyopita, yanadumisha umuhimu wa kulinda makundi yasiyo na uwezo wakufanya maamuzi dhidi ya unyonyaji au kulazimishwa kutenda kitu kwa nguvu,lakini ukitoa nafasi kwa hao wenye nia ya kuanzisha mahusiano sahihi."
Mwongozo wa sasa wa baraza la kitabibu Uingereza unasema: "Ili kudumisha mipaka ya kitaaluma, na imani ya wagonjwa na jamii, ni lazima usianzishe au kuwinda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi au hisia zisizo sahihi na mgonjwa."
Madaktari pia hawaruhusiwi kutumia nafasi ya kutembelea wagonjwa majumbani kama njia yakuonana na ndugu za wagonjwa, na wanaruhusiwa kuanzisha mahusiano na wagonjwa wao wa zamani baada ya kuonana nao kijamii. Na ikiwa mgonjwa wa zamani alikuwa asiyeweza kufanya maamuzi kwa sababu ya matatizo ya afya ya akili ya "kukosa ukomavu," hapo wanazuiwa kuanzishwa mahusiano ya aina yoyote.
Ingawa kuna sheria hizo, mwaka 2009 madaktari wengi waliondolewa katika rejesta ya kitabibu ya nchini Uingereza kwa sababu ya kuwa na mahusiano yasiyo sahihi na wagonjwa wao kuliko sababu nyingine za kitabibu, ikihusisha matukio 15 kati ya matukio 83.
Chanjo: Gazeti la The Sun na The Telegraph
Daktari asiye bingwa Tony Grewal wa jijini London, anasema: "Kuzuiwa kabisa kuwa na mahusiano na wagonjwa au wagonjwa wa zamani ni zuio lisilo la sahihi katika haki za kutafuta furaha kwa madaktari na wagonjwa pia."
"Tunahitaji upya, mwongozo wa kijamii wenye mamlaka ambao utakubali kuwa mabadiriko katika miaka 20 iliyopita, yanadumisha umuhimu wa kulinda makundi yasiyo na uwezo wakufanya maamuzi dhidi ya unyonyaji au kulazimishwa kutenda kitu kwa nguvu,lakini ukitoa nafasi kwa hao wenye nia ya kuanzisha mahusiano sahihi."
Mwongozo wa sasa wa baraza la kitabibu Uingereza unasema: "Ili kudumisha mipaka ya kitaaluma, na imani ya wagonjwa na jamii, ni lazima usianzishe au kuwinda kuanzisha mahusiano ya kimapenzi au hisia zisizo sahihi na mgonjwa."
Madaktari pia hawaruhusiwi kutumia nafasi ya kutembelea wagonjwa majumbani kama njia yakuonana na ndugu za wagonjwa, na wanaruhusiwa kuanzisha mahusiano na wagonjwa wao wa zamani baada ya kuonana nao kijamii. Na ikiwa mgonjwa wa zamani alikuwa asiyeweza kufanya maamuzi kwa sababu ya matatizo ya afya ya akili ya "kukosa ukomavu," hapo wanazuiwa kuanzishwa mahusiano ya aina yoyote.
Ingawa kuna sheria hizo, mwaka 2009 madaktari wengi waliondolewa katika rejesta ya kitabibu ya nchini Uingereza kwa sababu ya kuwa na mahusiano yasiyo sahihi na wagonjwa wao kuliko sababu nyingine za kitabibu, ikihusisha matukio 15 kati ya matukio 83.
Chanjo: Gazeti la The Sun na The Telegraph