St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,631
- 4,509
Hii imemtokea dada mmoja na kaja kwangu kunisimulia na kilio juu,anasema baada tu ya ndoa yao wakiwa honeymoon jamaa akamwambia tumefunga ndoa sasa,mimi na wewe ni wazima hatuna ugonjwa wowote wa zinaa kwa hiyo ikitokea tu tukapata gonjwa lolote la zinaa basi lazima utakuwa umelileta wewe maana mimi najijua ni mwaminifu,sasa binti ananiuliza ndoa ataiweza kweli kwa biti hilo alilopigwa na jamaa?